Jinsi ya kuomba ajira za ualimu kwa mfumo wa OTEAS na changamoto zake

Mimi mbona kuna jamaa zangu wamekuja hapa na nimewasaidia tu bila changamoto yoyote? Au tatizo linabagua? Tangu march 2 kuna watu zaidi ya 8 wamefanya application hapa na wala haikuchukua zaidi ya nusu saa kwa kila mmoja.
 
Kuna watu wako hapo tamisemi- dodoma, wameziua option ya ku-upload file kwenye mfumo wa oteas ili wafanye wao kwa malipo makubwa.
Hii kitu ina siku ya 3 ukipandisha file hata iwe ni usiku wa manane halipandi, hata uwe na internet yenye kasi ya 4g bado utaambuliwa manyoya tu.

Ninyi watu kuweni wazelendo, kwa roho zenu hizo hamna tofauti na wahujumu uchumi kwa hujuma hizi mnazowafanyia Watanganyika wenzenu.
 
Habari za jioni wapendwa. Tangu tarehe 27/02/2019 nimekuwa ninajaribu kutuma maommbi ya nafasi za ualimu kutumia online teachers application system lakini imeshindikana. kujisajiri tu nimechukua siku nne. huku nilipo nimekodi computor ya mtu usiku niwe najaribu wakati labda system inakuwa si congested lakini imeshindikana. tangu jumatatu ninalala saa 10 alfajiri lakini zoezi ili limeshindikana. tangu juzi niko naapload vyeti lakini ata kimoja sijafanikiwa. tafadhali wajuzi wa hii technologia naomba mnisaidie nifanyeje? deadline ni kesho kutwa na kwa speed hii sitafanikiwa. iwapo unashindwa kutuma kwa njia ya online, je kuna njia nyingine inakubalika mfano kuandika kupitia posta au kutuma direct email yenye docs zote? Kuna suruhisho limetolewa kwa sisi tulioshindwa kutuma kwa njia ya online? msaada wenu kwani hapa nimeshindwa nifanyeje na ukizingatia niko bush ambapo network ni shida.
asante
 
Pole sana mkuu kwa hapo. Ila nafikir katika kipind chote hicho ambapo umejaribu ku-apply, ungekua umejaribu kutuma kwa njia ya hata e-mail au wasap baadh ya docs zako kwa rafiki zako wakusaidie ambao wako mjini ungekua umeshasogea. Ndvy walivyosaidiana weng na wengn rafiki zang walinitumia nikajaribu. Kwa siku hiz hapa karbn network ime shake sana. Jion hii nimeona comments za watu wamefanikiw baadh ila majority bado...zid kujaribu hadi mwisho inaweza kubali..hii Oteas wangeitoa tuu
Habari za jioni wapendwa. Tangu tarehe 27/02/2019 nimekuwa ninajaribu kutuma maommbi ya nafasi za ualimu kutumia online teachers application system lakini imeshindikana. kujisajiri tu nimechukua siku nne. huku nilipo nimekodi computor ya mtu usiku niwe najaribu wakati labda system inakuwa si congested lakini imeshindikana. tangu jumatatu ninalala saa 10 alfajiri lakini zoezi ili limeshindikana. tangu juzi niko naapload vyeti lakini ata kimoja sijafanikiwa. tafadhali wajuzi wa hii technologia naomba mnisaidie nifanyeje? deadline ni kesho kutwa na kwa speed hii sitafanikiwa. iwapo unashindwa kutuma kwa njia ya online, je kuna njia nyingine inakubalika mfano kuandika kupitia posta au kutuma direct email yenye docs zote? Kuna suruhisho limetolewa kwa sisi tulioshindwa kutuma kwa njia ya online? msaada wenu kwani hapa nimeshindwa nifanyeje na ukizingatia niko bush ambapo network ni shida.
asante
 
Mfumo upo slow sana, lkn usichoke kila wakati upload hatimae utafanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app


Ushauri wangu hakikisha unatimiza yafuatayo
1. Kuwa kwenye internet nzuri.
2. Nashauri tumia UC Browser(Ndio niliyofanikiwa kufanya upload) iwe ni kompyuta au simu, ingawa unaweza pia kutumia Firefox au Google chrome.
3. Kama utatuma muda wa usiku sana inaweza kuchukua muda mfupi zaid, hata hivyo kwa mazingira yote inahitaji uvumilivu hadi kufanikiwa kuapload (Appr. 2 - 10 mins au zaid kulingana na mazingira ikiwemo PC yenyewe)
4. Pamoja na hayo yote bado inakubidi kuomba Mungu maana bila yeye unaweza hata ukakata tamaa mapema tuu, imani muhimu.
5. Jitahidi ufanyie kazi hili bado siku moja tuu.

@ Manyuc
 
Kuna watu wako hapo tamisemi- dodoma, wameziua option ya ku-upload file kwenye mfumo wa oteas ili wafanye wao kwa malipo makubwa.
Hii kitu ina siku ya 3 ukipandisha file hata iwe ni usiku wa manane halipandi, hata uwe na internet yenye kasi ya 4g bado utaambuliwa manyoya tu.

Ninyi watu kuweni wazelendo, kwa roho zenu hizo hamna tofauti na wahujumu uchumi kwa hujuma hizi mnazowafanyia Watanganyika wenzenu.
Acha hiyo tabia ya kutuhumu watu bila ushahidi. Wengine waliofanikiwa kutuma maombi wamefanikiwa vipi? Kua msitaarabu usije kuwasababishia wenzako matatizo kwa mambo ya kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha hiyo tabia ya kutuhumu watu bila ushahidi. Wengine waliofanikiwa kutuma maombi wamefanikiwa vipi? Kua msitaarabu usije kuwasababishia wenzako matatizo kwa mambo ya kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app

Jenga hoja na ujibu kwa hoja. Lugha za ajabu ajabu hazitakusaidia zaidi ya kukuharibia. Acheni hiyo mambo.

Ukiendelea kutoa lugha za ajabu ntaweka wazi # zenu mnazopokelea pesa.

Karibu..!!


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Jenga hoja na ujibu kwa hoja. Lugha za ajabu ajabu hazitakusaidia zaidi ya kukuharibia. Acheni hiyo mambo.

Ukiendelea kutoa lugha za ajabu ntaweka wazi # zenu mnazopokelea pesa.

Karibu..!!


Sent from my iPhone using Tapatalk
Unakurupuka sana wewe.
Wanaofanikiwa ku upload wanatumia uchawi gani? Acha kukurupuka
Hizo namba kama unazo weka na huo ushahidi kuliko kuandika pumba humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teacher wewe unafundisha masomo yapi?
Maana R na L bado mtihani kwako.
Edit documents ziwe na size ya kati au ndogo mambo yatakaa poa
Habari za jioni wapendwa. Tangu tarehe 27/02/2019 nimekuwa ninajaribu kutuma maommbi ya nafasi za ualimu kutumia online teachers application system lakini imeshindikana. kujisajiri tu nimechukua siku nne. huku nilipo nimekodi computor ya mtu usiku niwe najaribu wakati labda system inakuwa si congested lakini imeshindikana. tangu jumatatu ninalala saa 10 alfajiri lakini zoezi ili limeshindikana. tangu juzi niko naapload vyeti lakini ata kimoja sijafanikiwa. tafadhali wajuzi wa hii technologia naomba mnisaidie nifanyeje? deadline ni kesho kutwa na kwa speed hii sitafanikiwa. iwapo unashindwa kutuma kwa njia ya online, je kuna njia nyingine inakubalika mfano kuandika kupitia posta au kutuma direct email yenye docs zote? Kuna suruhisho limetolewa kwa sisi tulioshindwa kutuma kwa njia ya online? msaada wenu kwani hapa nimeshindwa nifanyeje na ukizingatia niko bush ambapo network ni shida.
asante
 
Habari za jioni wapendwa. Tangu tarehe 27/02/2019 nimekuwa ninajaribu kutuma maommbi ya nafasi za ualimu kutumia online teachers application system lakini imeshindikana. kujisajiri tu nimechukua siku nne. huku nilipo nimekodi computor ya mtu usiku niwe najaribu wakati labda system inakuwa si congested lakini imeshindikana. tangu jumatatu ninalala saa 10 alfajiri lakini zoezi ili limeshindikana. tangu juzi niko naapload vyeti lakini ata kimoja sijafanikiwa. tafadhali wajuzi wa hii technologia naomba mnisaidie nifanyeje? deadline ni kesho kutwa na kwa speed hii sitafanikiwa. iwapo unashindwa kutuma kwa njia ya online, je kuna njia nyingine inakubalika mfano kuandika kupitia posta au kutuma direct email yenye docs zote? Kuna suruhisho limetolewa kwa sisi tulioshindwa kutuma kwa njia ya online? msaada wenu kwani hapa nimeshindwa nifanyeje na ukizingatia niko bush ambapo network ni shida.
asante
Tumia simu kwa UC browser. Hii fasta sana . Ukiupload cheti ukaona bado unaenda kuangalia report km kipo.
 
Back
Top Bottom