Nyie ndo wakuwatoa nduk tuWadau please naombeni mnipe mbinu ambazo naweza kuzitumia katika kumtongoza msichana ambae kwa Mara ya kwanza ndo nakutana nae na nimetokea kumpenda
Anza kumuomba number ya simu, mengine yatajielekeza yenyewe wakati mnaendelea kuwasilianaWadau please naombeni mnipe mbinu ambazo naweza kuzitumia katika kumtongoza msichana ambae kwa Mara ya kwanza ndo nakutana nae na nimetokea kumpenda
Cku hizi hakuna ufundi.Jitupie kivyovyote tuWadau please naombeni mnipe mbinu ambazo naweza kuzitumia katika kumtongoza msichana ambae kwa Mara ya kwanza ndo nakutana nae na nimetokea kumpenda
Kamnywee kiroba cha konyagi halafu udindishe ili akiinama kukuchunguze akute mashine iko juuWadau please naombeni mnipe mbinu ambazo naweza kuzitumia katika kumtongoza msichana ambae kwa Mara ya kwanza ndo nakutana nae na nimetokea kumpenda
hizi siku hizi tumezichoka.Mfuate kwa heshima then sema hivi "Samahani kwa usumbufu, nimekuona na kuna kitu kimenisukuma kukwambia ya kwamba unaonekana huna makuu, ni mtu mzuri ambaye naweza kuongea na wewe, naomba sekunde chache" Akijibu " Sawa " Omba namba ya simu then mu-invite mtoke out kupitia simu. Akijibu " Hapana" sema thanks kisha ondoka zako. Kama amesema hapana it means ile natural connection kwa muda uliotumia kuongea naye haikuwepo. Disclaimer: Njia hii inatumika kwa wasichana wastaarabu na wenye class, na kwa wanaume wanaojiheshimu. Most of the time it works.
Haya nishakupa uchawi...Go Get 'Em
hizi siku hizi tumezichoka.
hahahaaaaa yaani kama kumrushia kuku punje za mahindi aingie bandani!!!Kuna alternative mkuu. Nenda na pochi imetuna dola then dondosha mbele yake simu yako na ile pochi....akikusaidia kuokota chomoa dola 100 mpe...then omba namba. It works too. Kuna 1001 ways to catch a papuchi mkuu
Nyie ndo wakuwatoa nduk tu
Hahahaha! Dah we jamaa nomaUkimuona mwambie we shoga, mademu wanapenda sana urafiki na mashoga. Ukipata chance tu ya kuwa nae peke yako baada ya urafiki unabidilisha gear angani kwa kumwambia amekufanya ubadilike kutoka kuwa shoga the rest will be history kama wasemavyo wadhungu.
duh!hz njia nyngine nomA sanA aiseee....Ukimuona mwambie we shoga, mademu wanapenda sana urafiki na mashoga. Ukipata chance tu ya kuwa nae peke yako baada ya urafiki unabidilisha gear angani kwa kumwambia amekufanya ubadilike kutoka kuwa shoga the rest will be history kama wasemavyo wadhungu.