babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,092
- 15,987
nimekuona kule lakinithread gani? tupe link mkuu tukaichungulie!
nimekuona kule lakinithread gani? tupe link mkuu tukaichungulie!
basi labda nimeshaipitia! poa poa mkuu!nimekuona kule lakini
we mwachie Mungu usifanye part yako uone kama ugongaji haujaingia uvunguni mwa kitanda chako.Duu hii dunia imekwisha kabisa.Sasa mwandoa unagonwa na wewe unagonga kazi ipo.Eeh MUNGU ninusuru mie.
nakwambiaje naanza kuamini kidogo kidogo kama mwaka 2012 mwisho wa dunia,maana tunavyomchokonoa mungu hata enzi za sodomah watu hawakufanya hivi,its tooo much.we mwachie Mungu usifanye part yako uone kama ugongaji haujaingia uvunguni mwa kitanda chako.
nimeona hujaipitia,mkuu tafuta inaitwa kunuka kikwapa,na hii post yangu ya jero unaweza kunipongeza kimyakimya moyoni mkuu.basi labda nimeshaipitia! poa poa mkuu!
kwa kweli binadamu wa leo tumekua wacafu sana wa matendo,hivi huyu mungu angekua na hasira za kuhukumu papo kwa papo kama sisi tulivyo na hukumu za sheria mkonononi tungepona kweli?maana tunamchokonoa isivo kawaida.inaskitisha sana kwani matendo yetu ni yanazidi kutia kinyaa!kweli mungu ni mwenye upendo ndo mana anatuvumilia!nakwambiaje naanza kuamini kidogo kidogo kama mwaka 2012 mwisho wa dunia,maana tunavyomchokonoa mungu hata enzi za sodomah watu hawakufanya hivi,its tooo much.
hahahahaha! hongera kufikisha mabandiko 500nimeona hujaipitia,mkuu tafuta inaitwa kunuka kikwapa,na hii post yangu ya jero unaweza kunipongeza kimyakimya moyoni mkuu.
Its good to call a spade a spade lakini best angalia lugha sometimes unayoitumia, nadhani hii si ya kistaarabu bora hata ungetumia euphemism. Bwamdogo jaribu kuwa mstaarabu vinginevyo hii forum itaonekana ni ya wahuni wasiokuwa na ustaarabu wowote.hivi nyie wanaume mnafurahia nini kumtoa mwenzako ....... live jamani huku yakikudondokea pembeni ya ..... yako,..sijui ...... ama unaenda nayo kwa mkeo hivyo hivyo
ee mungu tusaidie
its good to call a spade a spade lakini best angalia lugha sometimes unayoitumia, nadhani hii si ya kistaarabu bora hata ungetumia euphemism. Bwamdogo jaribu kuwa mstaarabu vinginevyo hii forum itaonekana ni ya wahuni wasiokuwa na ustaarabu wowote.
The moralist insinuates!
kama anagongwa kwa nilivyoelewa mimi basi huyo si mume tena atafute neno jengine la kumuita lakini siyo mume.mmh!ampeleke akaombewe!
msaada wako ni kumsaga huyo dadaJam,ani kuna dada kaniuliza ananiambia mumewe anagongwa nimsaidiaje??
Olalalala!!!!!!!OK swali lako halieleweki, inamaana mumeo ni Gay or Bisexual? kama ni hivyo basi hakuna njia, ni omba talaka kwani hakuna dawa yakuponya ushoga ,kwani huyo ndivyo alivyo.
Au kama ume zaa naye na unahitaji malezi bora ya watoto walelewe na baba na mama basi jaribu ongea na mumeo, muulize napenda nini na anatakaje, ikiwezekana mshauri umnuulie a Dildo uwe una msaidia au, kubalina na hali halisi ushirikiane kimapenzi yani uwajoin yeye na sex buddy wake kitandani ili mdumishe ndoa yenu .
Olalalala!!!!!!!