Jinsi ya kumtunza :"" pdidy""

Pdidy hapo umegonga!, Mara nyingi wanao poteza sana ni WADADA, kwani hasara huwa nyingi kwao;

1. Msichana hushusha hadhi yake kama TRIAL hio haita pitishwa(Cancelled).

2. Mwanamke huwachiwa majukumu ya kulea, jamaa akijitoa.

3. Mwanamke hana haki, iwapo jamaa ataaga dunia wakiwa pamoja.

4. ............etc
 
kiukwel cku hz wa2 wanabebana tu wakichokana wanamwagana. Ndo mana wagonjwa wa moyo wengi vdonda vya 2mbo etc. Hii yote ni kujfanya 2najua zaidi kumbe ndo tunapotea ile mbaya . MMOMONYOKO WA MAADILI ndo sababu ya haya yote. Mtu aliyelelewa akaleleka vizuri wll never do such a thgn!
 
Unatema Big g kwa karanga za kupnjeshwa?
Usifanye mchezo na ndoa.
 
kwanza Elimu siyo kigezo cha kutafuta mchumba unless ukiwa materialist nasema hivi kwa sababu
1. wapo wenye elimu za vyou vikuu lakini (hawana elimu ya maisha) hawawezi kutunza familia zao ( hadi malecturer wa vyuo wamo tena wenye PHD). Kazi yao kulewa pombe, kuchuka vyangu doa, wanawapiga wake zao, hawana muda wa kukaa na familia zao na hata wengine kulipa ada ya mtoto wake ni tatizo. Hujaona watoto wa watu wenye madigirii wanakua wapiga debe? Sasa`kama mwanamke unafuata kigezo cha mume ni elimu basi uwe makini ( mmmh! kwa hiyo hata kama hujampenda kisa dr. unamkubali?) du!!! hii kali
2. wapo wasio na elimu ya darasani ila wana elimu ya maisha (wanaongea kwa mantiki na busara na wanafanya mambo yao kimikakati)
3. Na wapo wasio na elimu ya darasani na ya maisha, sasa hawa ndiyo kila mwanamke anatakiwa kuwa nao chonjo wakati wa uchumba, kawa bwana mara nyingi hawaelewi maisha na vigumu kubadilika kabisaaa!
Cha msingi nadhani ni upendo uanze halafu hayo mengine yanafuata.

Ni kweli kuishi na mwanamke aliyekuzidi elimu ni ngumu sana kwa sababu ya hulka zao. Mara nyingi mwanamke hupenda kumsifia mume wake kwa wenzake, sasa kama kidato hakijapanda ndugu yangu na huna mavumba ya kutosha, hapo huna ujanja. Utapigwa chini coz hurembeki kwa mwanawake wenzake. Nafikri pia wanawake wanathamini sana wenzao wanawaonaje kuliko wao wanavyojiona na hapo ndiyo tatizo linaanza. Wengi wao wanataka kuwa matawi ya juu kila wakati bwana!
 
Tatizo kitufe cha thanks, hakipo.! Lakini Imetulia, nimeipenda :plane:
 
mwenzangu akiiona article hii nimekwisha. Atanibingirisha, ataniinamisha, atanibong'olesha, atanichumisha mchicha, ataniua kifo cha mende na kunikomoa kwa kila hali.
Bora tu asiione.
 
Kubebana!



Kwa nini jamii nyingi za vijana wa leo huchukua uamuzi wa kuanza kuishi pamoja kinyumba kabla ya kuoana rasmi na ndipo kuanza maisha?
Wengi hutoa sababu nyingi mojawapo ni kuokoa fedha za kutumia kwani badala ya nyumba mbili huwa nyumba moja, kutumia muda mwingi pamoja, kuwa karibu kihisia (feelings and emotions), kuzoeana kimapenzi (sexual intimate) pia ni kitu rahisi ambacho hakina gharama.
Zaidi wengi hutoa sababu kwamba wanaishi pamoja kabla ya kuoana rasmi kwa sababu wanajitahidi kuangalia namna wanafanana na kufahamiana ka undani zaidi na kujaribu kama itawezekana (testing) kuishi pamoja na kuridhika kwamba waoane (wanaogopa kununua mbuzi kwenye gunia) kwa kuchunguzana mazingira ya masaa 24 siku 7.

Je, ni kweli wachumba kuishi pamoja kwanza hupelekea kuoana na ndoa kuwa imara baada ya kuoana?
Ukweli ni kinyume chake, tafiti nyingi zinaonesha kwamba watu ambao huamua kuishi pamoja (Cohabitation, common law, kuvutana, kuishi katika dhambi, kuchukuana nk) kwanza huongeza uwezekano wa kuachana baada ya kuoana na mara nyingi wengi hata kuoana huwa inashindikana huku kila mmoja akiwa amejeruhiwa vibaya kwa kupoteza muda wake na mali zake.
Kubwa zaidi wapo ambao hufikia hatua hata ya kuzalishana watoto na hata kabla ya kuoana huachana huku mwanamke akipelekeshwa na maisha ya kutunza watoto wakati baba anaenda kuona mke mpya.
Hii style ya kuishi pamoja kabla ya kuoana si lolote wala chochote zaidi ya kupotezeana muda na kuharibiana maisha na kuweka rekodi ambazo huwa gharama kubwa kwa maisha yote ya mtu kwamba aliwahi kuishi na mwanaume au mwanamke a hakuoana naye, unakuwa umejiwekea kibandiko (label) kwamba wewe ni moja ya failures na itaku cost kujisafisha katika ile jamii.

Kwa nini ni muhimu sana kuoana kwanza na ndipo kuishi pamoja?
Pamoja na kwamba kuoana kwanza ndiyo utaratibu wenye Baraka wa ndoa zote, kuingia kwenye ndoa si mchezo au jambo dogo (kids game) bali ni agano kati ya wawili wanaoana na Mungu kwa maana hiyo lazima kuwepo kiapo (commitment) kit ambacho hufunga wawili wanaoana kuishi maisha yao pamoja bila kujali nini kinatokea mbele "No matter what"
Kiapo ambacho unaapa kwa mwenzi wako siku ya kuona ni kukubali kuishi naye maisha yako yote yanayobaki hapa duniani na ni msingi wa ndoa na kwamba hiki kiapo ni unconditional kwamba utaishi naye hata kama ni matajiri au maskini, afya njema au ugonjwa, katika shida au raha, kuwa na watoto au kutokuwa na watoto hadi kifo kitakapowatenganisha.

Wanaochukuana au kubebana na kuanza kuishi huwa katika risk ya kuachana muda wowote kwa kuwa hakuna kiapo, hakuna ahadi (covenant) hakuna commitment, hakuna furaha ya kweli, hakuna amani ya kweli kwa kuwa si utaratibu wa ndoa na ni njia nzuri ya kuachana na kuharibiana maisha na mara nyingi anayeumizwa zaidi ni mwanamke.

Jambo la msingi na la kukumbuka ni kwamba unapofahamu kwamba mwenzako yupo fully committed kwako hii husababisha ujisikie vizuri (security) na huweza kuimarisha kujisikia kitu kimoja na wewe ni mali yake na zaidi mnaimarisha ile bond ya kuzoeana na kuwa karibu kimapenzi kwa kuwa unafahamu mwenzangu amejitoa na kunikubali maisha yake yote.
Kubebana na kuchukuana na kuanza kuishi pamoja kabla ya ndoa ni njia nzuri ya kufanyia mazoezi ya kuachana

Kwa mtizamo wa maandishi tu inaonekana uko upande wa jinsia moja katika kutoa mada yako hii, ushauri wangu ni kwamba ebu chunguza ndoa ngapi zinafungwa asubuhi na kuvunjika jioni, na kama ndoa inaleta security ebu tuangalie nyumba ndogo za kike nakiume ni ngapi siku hizi je ni kweli wanaokuwa na hizo nyumba ndogo ni wale tu waliochukuana na kuishi bila ndoa au ni wale waliofunga ndoa na kushindwa kuishi viapo vyao?

Nionavyo mimi kuishi pamoja ni maelewano bila external commitments kama vile ndoa watoto, mali nk inatakiwa muwe willing kuishi pamoja na ndio mtaheshimiana na kuongea lugha moja na kunia pamoja, vinginevyo kuachana au kubwagana kama mtoa mada anavyosema kupo popote kwa wanandoa na wasio na ndoa ali mradi hamjaendana kitabia na mtizamo
 
kwanza Elimu siyo kigezo cha kutafuta mchumba unless ukiwa materialist nasema hivi kwa sababu
1. wapo wenye elimu za vyou vikuu lakini (hawana elimu ya maisha) hawawezi kutunza familia zao ( hadi malecturer wa vyuo wamo tena wenye PHD). Kazi yao kulewa pombe, kuchuka vyangu doa, wanawapiga wake zao, hawana muda wa kukaa na familia zao na hata wengine kulipa ada ya mtoto wake ni tatizo. Hujaona watoto wa watu wenye madigirii wanakua wapiga debe? Sasa`kama mwanamke unafuata kigezo cha mume ni elimu basi uwe makini ( mmmh! kwa hiyo hata kama hujampenda kisa dr. unamkubali?) du!!! hii kali
2. wapo wasio na elimu ya darasani ila wana elimu ya maisha (wanaongea kwa mantiki na busara na wanafanya mambo yao kimikakati)
3. Na wapo wasio na elimu ya darasani na ya maisha, sasa hawa ndiyo kila mwanamke anatakiwa kuwa nao chonjo wakati wa uchumba, kawa bwana mara nyingi hawaelewi maisha na vigumu kubadilika kabisaaa!
Cha msingi nadhani ni upendo uanze halafu hayo mengine yanafuata.

Ni kweli kuishi na mwanamke aliyekuzidi elimu ni ngumu sana kwa sababu ya hulka zao. Mara nyingi mwanamke hupenda kumsifia mume wake kwa wenzake, sasa kama kidato hakijapanda ndugu yangu na huna mavumba ya kutosha, hapo huna ujanja. Utapigwa chini coz hurembeki kwa mwanawake wenzake. Nafikri pia wanawake wanathamini sana wenzao wanawaonaje kuliko wao wanavyojiona na hapo ndiyo tatizo linaanza. Wengi wao wanataka kuwa matawi ya juu kila wakati bwana!

Mkuu ukiangalia ratio ya wenye elimu na maisha ya hovyo na wasio na elimu na maisha mazuri! I will go for the educated one. Why risk
 
mwenzangu akiiona article hii nimekwisha. Atanibingirisha, ataniinamisha, atanibong'olesha, atanichumisha mchicha, ataniua kifo cha mende na kunikomoa kwa kila hali.
Bora tu asiione.

Zote hizo mamboyako super siye wengine missionary position kwishakazi
 
Ngoja nimeitwa na jirani haka kamchezo kamezidi nimekiona sasa
 
njoo nikufunze kumtuliza mume, hata akienda huko asimtamani jirani yako. Paka akishiba huwaacha panya wapite. Mshibishe mumeo.
 
mwenzangu akiiona article hii nimekwisha. Atanibingirisha, ataniinamisha, atanibong'olesha, atanichumisha mchicha, ataniua kifo cha mende na kunikomoa kwa kila hali.
Bora tu asiione.

We weeeeee! ngoja ni m-pm aione!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom