tamko lako mhimu sana hapangoja kwanza nisome
Wangefufuliwa wengi, au unaongelea maigizo ya hawa manabii wetu?Inayoweza kufufua mfu ni nguvu ya Yesu Kristo basi. vitu vingine vyote ni kupoteza time yako tuu.Na pia kinga ya kutoteswa na Wachawi ni kumkili Yesu kristo kwamba ni Bwana na Mokozi wa Maisha yako na kuacha dhambi.
Ok hayo matakataka ni yapi mkuu..Mtoto mdogo mind yake haina matakataka anapoanza kukua anazoa takataka kutoka kwenye jamii shida ndo inaanzia hapo!
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂walimu mmekutana kazini, tunasubiri jibu lakongoja kwanza nisome
Amekutana na ngum kumeza hana la kusemaMshana Jr hajaja hapa?
Hahahaha
chid baada ya kusoma huu uzi anachoongea hakieleweki, kuna clip inatembea sijui anaweweseka au vipi mkuu!Askofu Rashid ANASEMAJE KATIKA hili?
nimesabsklabu huu uzi kusubiri coment yako usiniangushe mkuuHahahaha