Jinsi ya kumpata mwanamke bila kumtongoza

mbona hatua ndefu hizo.....
1.tafuta pesa
2.tafuta pesa
3.tafuta pesa
5.kazi ni kwako kuchagua unayemtaka,..
Siyo kweli pesa pekee inayohitajika ni ya kukuwezesha.
1 kulipia taxify
2 lodge au hotel
3 vinywaji na msosi
4 nauli ya kumrudisha nyumbani

The rest mnaliwa nyinyi mambwiga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa ninazo na sina shida yaani pesa ndogo ndogo za kuwatuza wadada wa Bongo mm azinipigi chenga pesa ninayo ila ukweli ni huo
Sema mimi situmii nguvu ya pesa na nawapata warembo kama woote
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kweli pesa pekee inayohitajika ni ya kukuwezesha.
1 kulipia taxify
2 lodge au hotel
3 vinywaji na msosi
4 nauli ya kumrudisha nyumbani

The rest mnaliwa nyinyi mambwiga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie hao ndio wale ambao awajui mapenzi wanatumia nguvu ya pesa watu wanagegedua wake za mabosi na wanapewa wao pesa wewe to mwenzio apewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii kitu mara ya kwanza kukutana nayo ilikuwa kwenye blog flan hivi mwaka 2014 kumbe mpaka leo bado inaapply.

by the way kupata vichekesho kama hivi nibonyoze ngapi??
 
Sasa wenyewe si washajua huu mtego tutawapata kweli, maana akina mzigua na demi washaupitia huu uzi tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…