Uncle Yoso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 378
- 262
Ngoja tuone shuhuda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo utampata kwa vi emoji ,shwainiUnaweza kuwa na Pesa lakini bado usimpate mwanamke mwenye mapenzi ya Dhat na wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kweli pesa pekee inayohitajika ni ya kukuwezesha.mbona hatua ndefu hizo.....
1.tafuta pesa
2.tafuta pesa
3.tafuta pesa
5.kazi ni kwako kuchagua unayemtaka,..
Pesa ninazo na sina shida yaani pesa ndogo ndogo za kuwatuza wadada wa Bongo mm azinipigi chenga pesa ninayo ila ukweli ni huoWe jamaa hujawah kuwa na pesa inaonekana, mi mwenyewe mwanamke namwona mzuri sana nikiwa na pesa, yaan macho yangu yanakuwa yanaona fresh sana nikiwa km na maburungutu kwenye account mbalimbali, sihitaji kujua moyo wa mtu ukoje, mwanaume hajaumbwa kupendapenda mwanaume ni majukumu, tenda majukumu kisha unakufa baasi wanakukumbuka kwa majukumu yako, sio unafelifeli huwez hata kutimiza mambo ya muhimu, pesa ndio damu ya mwanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo sio ukweli, nipe mtu mmoja unayemjua ana pesa afu hajapata mapenzi ya kweliPesa ninazo na sina shida yaani pesa ndogo ndogo za kuwatuza wadada wa Bongo mm azinipigi chenga pesa ninayo ila ukweli ni huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie hao ndio wale ambao awajui mapenzi wanatumia nguvu ya pesa watu wanagegedua wake za mabosi na wanapewa wao pesa wewe to mwenzio apeweSiyo kweli pesa pekee inayohitajika ni ya kukuwezesha.
1 kulipia taxify
2 lodge au hotel
3 vinywaji na msosi
4 nauli ya kumrudisha nyumbani
The rest mnaliwa nyinyi mambwiga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona mkuu ni stori za abunuwasiIzi story za hv n sawa sawa na zile za kusema sjui unalima matikiti unapata milion5 ghafla unakuwa milionea
Waambie hao ndio wale ambao awajui mapenzi wanatumia nguvu ya pesa watu wanagegedua wake za mabosi na wanapewa wao pesa wewe to mwenzio apewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatimaye mpaka Unanasa mwenyewe kiulainiTunawindwa kwa mbinu zote,,daaah
Mapenzi ya dhati ya nn.Unaweza kuwa na Pesa lakini bado usimpate mwanamke mwenye mapenzi ya Dhat na wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa viemojSema mimi situmii nguvu ya pesa na nawapata warembo kama woote
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani,,kuna wanaume wezi aloo,unaingia line kumbe tapeliii😁😁
Tena watu kama hao ndiyo wanawaaribu dada zetu kwa sababu wanawashawishi kwa njia ya pesa na kuwazoesha pesa Coz awajui Mapenzi
Wakati kuna sabuni kibao. Sina mda wa kupoteza mimiTunawindwa kwa mbinu zote,,daaah
Tena watu kama hao ndiyo wanawaaribu dada zetu kwa sababu wanawashawishi kwa njia ya pesa na kuwazoesha pesa Coz awajui Mapenzi
Sent using Jamii Forums mobile app