baba joo
Member
- Jul 6, 2015
- 10
- 16
Kwa watu wote hasa vijana kumiliki nyumba ni ndoto ambayo kila mmoja anatamani kuitimiza. Lakini imeoneka kuwa sio rahisi kumiliki nyumba.
Kwa wale ambao tayari mnamiliki nyumba hata magari naombeni mtupe ushauri wa jinsi mlivyofanya(mbinu) hadi kufanikisha kumiliki nyumba zenu.
NAOMBENI TUSHEE UZOEFU PENGINE UTAMSAIDIA KIJANA MMOJA HUMU KUTIMIZA NDOTO ZAKE.
Naomba kuwasilisha.
Kwa wale ambao tayari mnamiliki nyumba hata magari naombeni mtupe ushauri wa jinsi mlivyofanya(mbinu) hadi kufanikisha kumiliki nyumba zenu.
NAOMBENI TUSHEE UZOEFU PENGINE UTAMSAIDIA KIJANA MMOJA HUMU KUTIMIZA NDOTO ZAKE.
Naomba kuwasilisha.