Aisha najaribu hata zaidi ya hapo ila katika maisha kuna situation ambazo zinapotukabili tunakuwa na wakati mgumu
thaaaaaaaaaaax...ngoja nimbipu apige...au mpk nipige ndo inanoga..!!!
Tutor kuna couple waliotulia na kuaminiana ila ni couple chache
Mapenzi yanaendana na hisia kali baina ya wapenda nao
Tutor unapotendwa ndo unajifunza kwamba una mapungufu ganiKwa nyongeza . . . mapenzi hayana formula tusidanganyane hapa. Tumewahi kupenda, kuacha na kuachwa pia, kurudiana na kuapa kutokupenda tena . . . bado tumependa na tuko kwenye game kama kawa. Makosa yalotendeka huko nyuma yakifanyiwa kazi ndo mambo yanakaa sawa.
Alowahi kutendwa akikutana na mwenzake ambaye naye pia aliwahi kutendwa wakiunganisha mawazo ndo wanaendana kwa taqhadhari ya hali ya juu.
njo dodoma mjn tuufanyie kazi,mana huko co pazur kwa field kama hiiUjumbe mzuri, nitaufanyia kazi.
Ebanae!Jamani mbavu zangu!!Mie masai bana lazima nikiongea mwanamke anakaa kimya kabisa
Hakuna aliye mkamilifu ndugu yangu. Hapa nilipo kuna kisa cha kweli ambacho kimemtokea ndugu yangu ambaye ni innocent. Mfano mapungufu ya kimaumbile - labda mtu anaenda single round anakuwa hoi, mwenza wake ana uwezo wa kubadili madume hata watatu kwa siku - mapungufu hayo huwezi kuyakabili. Hata ufanyeje mwenzio utakuwa unamtesa, ndo mwanzo wa kukuletea mambo ya ajabuTutor unapotendwa ndo unajifunza kwamba una mapungufu gani
waweza tendwa while huna mapungufu,........mtu akishapandwa na ,mzuka baaasiiiiTutor unapotendwa ndo unajifunza kwamba una mapungufu gani
Tutor upo right,kuna mengine yanavumilika lakini mengine huwezi kuvumiliaHakuna aliye mkamilifu ndugu yangu. Hapa nilipo kuna kisa cha kweli ambacho kimemtokea ndugu yangu ambaye ni innocent. Mfano mapungufu ya kimaumbile - labda mtu anaenda single round anakuwa hoi, mwenza wake ana uwezo wa kubadili madume hata watatu kwa siku - mapungufu hayo huwezi kuyakabili. Hata ufanyeje mwenzio utakuwa unamtesa, ndo mwanzo wa kukuletea mambo ya ajabu
etiie kwel hyo nimeipendahahahaha ukifanya na mengine huwezi kuibiwa mana utamteka kihisia
kwel eeh! Hlo nalo nenoMhhhhhhh!Sio lazima lkn linalowezakana fanya usije kuachika
hahahaha! Hebu njo mpwapwa, mjini wanga wengi.njo dodoma mjn tuufanyie kazi,mana huko co pazur kwa field kama hii