jinsi ya kumdate mwanamke tajiri

jinsi ya kumdate mwanamke tajiri

Sijakubaliana na yote yaliyomo kwenye Mada.

Ila nakubaliana na Mleta mada linapokuja Suala la kung'oa.

Ukweli ni kwamba Mlimbwende yoyote anang'oleka.

Mazingira ndio yanayochangia, nikiwa na maana:-

Maeneo ambayo unayopatikana, unayoishi, au naweza sema, jamii ya Watu waliokuzunguka, basi ujue wewe hao ndio utakaokuwa unakula nao Raha za Dunia
 
Kuna wanaume wengine hawana aibu wala hawajui vibaya lol!

Yaani, imagine that. Mdume mzima eti unamuwinda mwanamke, halafu kimaslahi zaidi. 🙂
 
  • Thanks
Reactions: kui
Hizi mbinu ni nzuri kwa graduates kutafuta ajira badala ya kukaa jf kulialia maana maeneo yote hayo ndo unakutana na maceo mbalimbali unawezakujenga nao urafiki!!acha kuwafundisha mbinu za dakika mbili alafu wanarudi kwenye dhiki zao wape mbinu za muda mrefu za kujikwamua kiuchumi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom