Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,792
Uwe unahudhuria anapo fanya mazoezi ya kucheza Tennes!Mi nataka nimdate Mo Dewji sijui unanisaidiaje![]()
Uwe unahudhuria anapo fanya mazoezi ya kucheza Tennes!Mi nataka nimdate Mo Dewji sijui unanisaidiaje![]()
haha bahati nzuri zaidi ni pale utakapoenda kuwinda hizo places, bila kujua kuwa huyo unayemuwinda pia yupo hapo kuwinda while hana chochote
Kama you are that much rich, kuna high possibility ya kuwa na wanawake wa type yako in your circle, no need ya kwenda kuwinda.
haha usiombe mkutane wawindaji uwiiiHaha, jamaa kanichekesha, nilisikia hili la wanawake pia kulindwa, sasa nimehakikisha.
Halafu haya mambo ya kuwinda, ndo hapo wakutane wote wanawinda. Sipati picha maongezi yao yatakuwaje wakigundua wote wanawinda.
espy na Heaven Sent hebu njooni huku mnatafutwa. Kuna watu wanaambiwa wawapigie push ups 100 kwa siku. 🙂
Umechelewa.Mkuu Nifundishe jinsi ya kumdate Faiza Foxy.
nimekwishamuozesha zamani sana.Faiza Foxy
naLara 1
Miss Chagga
Haha, jamaa kanichekesha, nilisikia hili la wanawake pia kulindwa, sasa nimehakikisha.
Halafu haya mambo ya kuwinda, ndo hapo wakutane wote wanawinda. Sipati picha maongezi yao yatakuwaje wakigundua wote wanawinda.
KapisaaNgachokaa
Teh teh teeeeeh!! Ndipo vijana wetu walipofikia mama, wakiwakosa hao watastuka kuwa wanaume matajiri ndio wengi basi watafundishana jinsi ya kuhamia huko. Imbombo ngafu.
Lol! Muwindaji mzuri ndiye ataibuka kidedea. 🙂🙂🙂
Wazee wanapenda kula ugoro....We mnunulie ugoro tuu utampata..Mkuu Nifundishe jinsi ya kumdate Faiza Foxy.
Wazee wanapenda kula ugoro....We mnunulie ugoro tuu utampata..

Asantee sana mkuu lete mwendelezohabari wanajf leo ntaelezea namna ya kumdate mwanamke tajirir;yaani mwanamke mwenye mkwanja wa maana,yaani mwenye private jet,makampuni ya kutosha,magari ya maana na sura yenye mvuto
mwanamke kama mwanamke anaweza akawa na mali za kutosha but bila mwanaume pembeni yake hawezi kuishi kwa raha maisha yake yote
kwanza kabisa inabidi ujue wanawake wa dizaini hizi wanapatikana wapi
ukishajua wanawake matajiri wanapatikana wapi basi ni tyme ya kujiandaa kumnyakua
- pendelea kutembelea mahoteli ya maana na club zenye hadhi
- pendelea kutembelea mafunzo ya real estates;huku utawapata wale wanawake warembo wanaotaka kujifunza namna ya kuendesha biashara ya mijengo
- jiunge na gym za maana
- jiunge na vituo vya kufundishia lugha za kigeni;huku utawapata warembo wanaotaka kujifunza lugha za kigeni ili waweze kufungua makampuni sehemu husika
itaendelea kesho..............................
- jiweke fiti kwanza kwa mazoezi,push up hamsini asubuhi na pushup hamsini jion;hii itakuweka katika shepu fulani ambayo ina mvuto wa aina yake
- jiweke sop sop sio lazima ununue nguo za bei ghali hata za mtumba poa
- jifunze utaalamu mdogomdogo kama kufix engine ya gari,kurepair electronic equipments hii itakufanya uwe multi talented etc
Ulishaona jike dera?Dume kaptula huyo