jinsi ya kumdate mwanamke tajiri

computerkiddy

JF-Expert Member
Oct 1, 2015
488
535
habari wanajf leo ntaelezea namna ya kumdate mwanamke tajirir;yaani mwanamke mwenye mkwanja wa maana,yaani mwenye private jet,makampuni ya kutosha,magari ya maana na sura yenye mvuto
mwanamke kama mwanamke anaweza akawa na mali za kutosha but bila mwanaume pembeni yake hawezi kuishi kwa raha maisha yake yote

kwanza kabisa inabidi ujue wanawake wa dizaini hizi wanapatikana wapi
  • pendelea kutembelea mahoteli ya maana na club zenye hadhi
  • pendelea kutembelea mafunzo ya real estates;huku utawapata wale wanawake warembo wanaotaka kujifunza namna ya kuendesha biashara ya mijengo
  • jiunge na gym za maana
  • jiunge na vituo vya kufundishia lugha za kigeni;huku utawapata warembo wanaotaka kujifunza lugha za kigeni ili waweze kufungua makampuni sehemu husika
ukishajua wanawake matajiri wanapatikana wapi basi ni tyme ya kujiandaa kumnyakua
  • jiweke fiti kwanza kwa mazoezi,push up hamsini asubuhi na pushup hamsini jion;hii itakuweka katika shepu fulani ambayo ina mvuto wa aina yake
  • jiweke sop sop sio lazima ununue nguo za bei ghali hata za mtumba poa
  • jifunze utaalamu mdogomdogo kama kufix engine ya gari,kurepair electronic equipments hii itakufanya uwe multi talented etc
itaendelea kesho..............................
 
wanawake wote ni mama zetu hata wabunge,madiwani ni viongozi wengi o'level ndo walee na unajua ya kwamba dunia hii hatatokea mtu anayepiga ball kama muhamad alli au hata muimba reggae kumpita mbwana sammata
NB:#NIMEVURUGWA_NA_MAISHA
 
Hahaha... Hili darasa usitoe bure, watu walipia kabisa uwape somo.
 
habari wanajf leo ntaelezea namna ya kumdate mwanamke tajirir;yaani mwanamke mwenye mkwanja wa maana,yaani mwenye private jet,makampuni ya kutosha,magari ya maana na sura yenye mvuto
mwanamke kama mwanamke anaweza akawa na mali za kutosha but bila mwanaume pembeni yake hawezi kuishi kwa raha maisha yake yote

kwanza kabisa inabidi ujue wanawake wa dizaini hizi wanapatikana wapi
  • pendelea kutembelea mahoteli ya maana na club zenye hadhi
  • pendelea kutembelea mafunzo ya real estates;huku utawapata wale wanawake warembo wanaotaka kujifunza namna ya kuendesha biashara ya mijengo
  • jiunge na gym za maana
  • jiunge na vituo vya kufundishia lugha za kigeni;huku utawapata warembo wanaotaka kujifunza lugha za kigeni ili waweze kufungua makampuni sehemu husika
ukishajua wanawake matajiri wanapatikana wapi basi ni tyme ya kujiandaa kumnyakua
  • jiweke fiti kwanza kwa mazoezi,push up hamsini asubuhi na pushup hamsini jion;hii itakuweka katika shepu fulani ambayo ina mvuto wa aina yake
  • jiweke sop sop sio lazima ununue nguo za bei ghali hata za mtumba poa
  • jifunze utaalamu mdogomdogo kama kufix engine ya gari,kurepair electronic equipments hii itakufanya uwe multi talented etc
itaendelea kesho..............................
Hebu tupe mfano hai wa huyo mwanamke mwenye private jet,makampuni,mkwanja wa kutosha kabla ya kuzungukia hayo mahoteli,makasino blindly.
 
espy na Heaven Sent hebu njooni huku mnatafutwa. Kuna watu wanaambiwa wawapigie push ups 100 kwa siku. :)
haha bahati nzuri zaidi ni pale utakapoenda kuwinda hizo places, bila kujua kuwa huyo unayemuwinda pia yupo hapo kuwinda while hana chochote

Kama you are that much rich, kuna high possibility ya kuwa na wanawake wa type yako in your circle, no need ya kwenda kuwinda.
 
Back
Top Bottom