Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Habari wakuu
Juzi wifi/shem wenu ametapeliwa kiasi cha pesa zaidi ya Milion mbili akiwa katika harakati za kutumiwa mzigo kutoka USA kuja Tanzania
Kwa kufupisha habari, inaonekana kuna matapeli walitumia mgongo wa Ofisi za DhL kumtapeli,
Ila hawa matepeli bado wapo hewani,
Naomba kufahamishwa njia gani tunaweza kutumia ili kuwakamata
Nb, bado hatujaripoti polisi.
Juzi wifi/shem wenu ametapeliwa kiasi cha pesa zaidi ya Milion mbili akiwa katika harakati za kutumiwa mzigo kutoka USA kuja Tanzania
Kwa kufupisha habari, inaonekana kuna matapeli walitumia mgongo wa Ofisi za DhL kumtapeli,
Ila hawa matepeli bado wapo hewani,
Naomba kufahamishwa njia gani tunaweza kutumia ili kuwakamata
Nb, bado hatujaripoti polisi.