Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Habari zenu waheshimiwa,
Nimesikia kuna namna mtu unaweza kum block mtu/watu flan kwenye mitandao ya simu....wasiweze kukupata hewani kama vile ilivyo kwa mtandao wa kijamii wa facebook.
Naomba mnijuze inakua vp ??
Thanks.
Nimesikia kuna namna mtu unaweza kum block mtu/watu flan kwenye mitandao ya simu....wasiweze kukupata hewani kama vile ilivyo kwa mtandao wa kijamii wa facebook.
Naomba mnijuze inakua vp ??
Thanks.