georgemageke
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 325
- 46
Style hii kwetu uswazi tunaita ganda la ndizi ni full mtelezo jombaaa....
Haikuhusu hii wewe. Inawahusu watu wa hali ya chini.
Yakulala hotelini ni ngumu mkuu kwani wanauliza number ya chumba ulicholala
Duh naona ngeu zinakunukia