Jinsi ya kukata mgomba usichipue tena

Jinsi ya kukata mgomba usichipue tena

Kelela

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2020
Posts
203
Reaction score
338
Habari zenu, nina shida, kuna migomba kila nikikata inachipua.

Nifanyeje ili isichipue tena?
 
Ni Aina gani na mgomba ? Ila kweli hutaki hiyo fursa badala uoteshe mingi we unateketeza
 
Mgomba!!? Kiwembe tu kinamaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom