Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,620
- 5,510
Bado hajasemaJitoe kadiri ulivyo jiingiza
Bado hajasemaJitoe kadiri ulivyo jiingiza
Enda kwa setting then u search “subscription” then click hiyo app afu fuata maelekezo ya ku unssubscribe.Wakuu za asubuhi
Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli hadi nibadili kadi?
Kila mwezi nakatwa tsh 2300/- automatically. Sijui nilifanyaje. Nikitaka kufuta akaunti yangu inashindikana. Maelezo niliyopewa kama nilijisajili kupitia app store basi niingie huko nikiona hiyo app ni unsubscribe. Wala sijaiona. Mange mwenyewe hajibu meseji zangu kupitia platform zake. Nia yangu niachane na hiyo app tu kwa sasa. Wazee wa tech tafadhali
Tuambie basi aaliyah na zuchu wamefanyaje,wengine ela hatuna ya kujiunga jua kali mifukoniBasi kila mtu humu anajifanya hana na wala hajawahi kuvutiwa na Mange App😂
Mkuu njoo pm nikuelekeze namna ya kujitoa, ni rahisi tuu..
Njia nzuri ya ku subscribe ni kupitia Google Pay maana unaweza ku cancel subscriptions kupitia hukohuko Google kwenyewe anytime..
Mimi nimesubsrcibe mwaka mzima, wale wapiga spana nipigeni spana mnavyotaka ila sitoki ng'ooo😂
View attachment 2771307
😅😅😅 tuzowee Mkuu.Wabongo bhana 😁😁,
humu kila mtu hajajiunga Ila thread za mavitu ya mange huwa zinapata comments na views za kutosha. Bado connection za mastar akizivujisha, kila mtu anaomba desperately
Mange anachukiwa Ila vitu vyake vinapendwa, kila mtu hajajiunga Ila mange anaingiza millions of shillings kila mwezi. Wabongo wenzangu em make it make sense 😁
WEWE NI ZEZETA,ZWAZWA, TAHIRA,PUMBAVU,JINGA,HOPELESS,ZUMBUKUKU.Wewe ukimnyima hiyo 2.3k unadhani ndo utamzibia riziki yake?
Kila mtu na starehe yake mkuu, kama wewe unaona bora hiyo 2.3k uinywee bia, mwingine starehe yake ni kusoma umbea wa watu maarufu...
Vivyo hivyo ambavyo JF haipendwi na watu wengi mitaani, wengi wasioipenda wanasema JF huwa wanaandika taarifa za kupotosha na ni waongo ndiyo vivyo hivyo ambavyo akina nyie mnai-perceive Mange Kimambi App kwamba hakuna cha maana kule zaidi ya umbea. Lakini waliomo mule wanajua raha yake..
Hivyo tuliza kiranga.
Wakuu za asubuhi
Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli hadi nibadili kadi?
Kila mwezi nakatwa tsh 2300/- automatically. Sijui nilifanyaje. Nikitaka kufuta akaunti yangu inashindikana. Maelezo niliyopewa kama nilijisajili kupitia app store basi niingie huko nikiona hiyo app ni unsubscribe. Wala sijaiona. Mange mwenyewe hajibu meseji zangu kupitia platform zake. Nia yangu niachane na hiyo app tu kwa sasa. Wazee wa tech tafadhali
Updates
Nimefanikiwa kujitoa kwenye usajili husika. Kwa namna ya pekee napenda kuwashukuru Nobunaga na Dr Restart kwa ushirikiano wao na kuonyesha kujali.
Nimejifunza:
1. Humu JF kuna watu wajinga sana. Nawaombea wasifike hatua ya kuwa wapumbavu
2. Wema bado wapo ila wachache
3. Wengi humu wanapenda mada nyepesi nyepesi wakitumia mgongo wa u great thinker
4. Wengi humu wana stress/msongo. akipata upenyo wa kutoa stress zao wanabwaga tu nyongo. Inajionyesha kwenye post zao
Mwisho, MODS naomba muufute huu uzi. Si lengo langu kuharibu biashara ya mtu bali wao wenyewe walishindwa kutoa mwongozo wenye kueleweka. Hivyo basi Active Boqin BlackBold na wengine tafadhali futeni huu uzi
Hapa nikuunge tu mkono 🤣🤣Humu JF kuna watu wajinga sana. Nawaombea wasifike hatua ya kuwa wapumbavu
😂🤣Mwanaume unakaa unalipia app ya Udaku..
Ww wasikupe msaada mpaka useme ulifata nini huko.
🤣🤣Kama wewe ni mwanaume aisee unatakiwa uchapwe viboko!kama wewe ni mwanamke Huo ndio mshahara wa Umbea.......yaani watanzania ni bogas kabisa unajiunga kabisa kulipia kila mwezi kusikia mambo ya watu yasiyo kumsaidia?
🤣🤣🤣mie mwanamke tuu sina hiyo app inakuwaje we dume la mbegu una hiyo app ndo maana mama samia alisema wanaume ndo wanaongoza kwa umbea
😁😁😁 bongo kuna unafki mwingi sana Ila sio mbaya. Tuishi tu😅😅😅 tuzowee Mkuu.