Inawezakana mkuu huenda kuna njia nyingine wajanja wameshazijua tusubiri.asanteMkuu me nshagawahi kujiunblock kwa njia hii ila ni muda kidogo... so labda kwa sasa hii trick ni inviled na pia encryption ya whatsApp ni kubwa sana kwa sasa...since nowdays it is being frequently updated.
Ndio mkuu... lakini hata uki google kwa sasa bado hakuna njia mpya ya kuji-unblock kwa hizi versions za siku izi otherwise utakutana na izo za zaman ambapo ata me nilitumia,...Inawezakana mkuu huenda kuna njia nyingine wajanja wameshazijua tusubiri.asante
Ni kweli... naona asaiv hii loophole haipigi kazi isha expire....Hiyo njia niliwahi kutumia last year ilikuwa inafanya kaz fresh tu
Hizo loopholes whatsapp walishaziziba since January kama sijakosea
Labda Kama kuna njia mpya wadau walete hapa
Hatari sana we chief hebu tuone kama litafanya kazi hili wazo japo muhusika amesha ni unblock,ngoja nijiblock mimi kwa simu nyingine alafu nijaribu hii kituNdio mkuu... lakini hata uki google kwa sasa bado hakuna njia mpya ya kuji-unblock kwa hizi versions za siku izi otherwise utakutana na izo za zaman ambapo ata me nilitumia,...
Hebu jaribu kufanya ivi creat group la whatsapp au mwambie rafiki ako atengeneze group la whatsapp afu mpe io namba ya uyo alie kublock ili ai "add" afu aku add na wewe nazan utaweza kuwasiliana kwa njia hii ila make sure ume hide privacy yako kama profile pic, namba na vngnevyo ili asikutambue kwa urahisi....
Ni mawazo tu...
Ok... Hebu jaribu tuone km itafanya kazi....Hatari sana we chief hebu tuone kama litafanya kazi hili wazo japo muhusika amesha ni unblock,ngoja nijiblock mimi kwa simu nyingine alafu nijaribu hii kitu
Hana kifurushi cha InternetBado imegoma mkuu block ipo pale pale
Aondoke tu Hamna nammaJinsi ya kujiondoa JF. KUNA mtu anataka kujiondoa huku tafadhali nielekezeni nimwambie afanye nini
Wajuvi wa mambo naombeni msaada jinsi gani nitaweza kuji ublock whatsapp kuna mtu ameni block alafu yupo mbali siwezi kushika simu yake
Yaan kama uligundua kuwa ilitakiwa niandike unblock utakua ulishaelewaAfu we jamaa ni zuzu unaandika vitu usivo vijua eti kuji ublock badala ya kuji unblock....kweli rudi darasani...
Dawa ya moto ni moto.nataka nijikombe alaf namm nije kumlipizia akiwa hayupo kwenye mood kama ya kwangu
Samahani aise! Hivi wewe ni ni wa kiume au wakikeInawezekanaje kujiunblock na wakati umeblockiwa na mtu yuko mbali
Fanya hivi badili namba ya account ! Alafu wasiliana nae uanze kwa kumuomba samahani kama umemkosea alafu mpe romantic word aregee! Kisha muahidi million moja ya vocha alafu um block na yeye alafu meseji ya mwisho mwambie sipendagi ujinga Mimi.Wajuvi wa mambo naombeni msaada jinsi gani nitaweza kuji ublock whatsapp kuna mtu ameni block alafu yupo mbali siwezi kushika simu yake
KiumeniSamahani aise! Hivi wewe ni ni wa kiume au wakike