Jinsi ya kuifanyia simu root assess

Jinsi ya kuifanyia simu root assess

Mkuu naomba pia unipe faida na hasara za Ku root sim
Faida ya kuroot Simu unaitoa kifungoni kwanza .
pili udukuzi wa application na kuziondolea licence sasa utakuwa umefika .
Kutumia simu yako kwa kuweka madiko diko matamu haswa mpk miandiko za samsung .
kuiwezesha simu iwe na uwezo wa kutunza moto ila mpk upate application inaitwa l_battery .
HASARA : KUONDOA WARRANTY WA SIMU NA KUUA SIMU ENDAPO HUTOZINGATIA MASHARTI
 
Iyo Mpaka pc mzee kama uko dsm nichek nikusaidie ela ya bando tu utatoa
 
Tecno wx3 nime root kwa kutumia kingroot,kingoroot, imekataa kabisa.
 
Kabla ya kuroot simu yako fanya yafuatayo kwanza
.Simu yako iwe na moto asilimia 50% au juu zaidi .
.Uwe na internet connection wakati wa kuroot simu yako .
.Hakikisha unaporoot simu yako uwe umefuata muongozo kama huu
Moja fungua _setting_ kwenye simu yako namna hii
Screenshot_20171215-144646.png

Shuka chini utakutana na sehemu imeandikwa ABOUT PHONE haya fungua hapo Then angalia hapo utakutana na sehemu imeandikwa [HASHTAG]#BUILD[/HASHTAG] NUMBER# haya
Screenshot_20171215-144721.png
namna hiyoo haya click hapo mpaka itakapokwambia tyr umebuil developed option haya rudi nyuma hadi kwenye About phone utakuta kuna sehemu imeongezeka inaitwa >developer option > haya click hapo
Screenshot_20171215-144732.png
iturn on hapo pamoja na USB DEBBUGING ukimaliza sasa mpaka hapo bado step moja .Salia hapo setting nenda sehemu imeandikwa> Security> haya bonyeza hapo utakutana na vipengele vingi haya click hapo >unknown sources weka tiki mpk hapo ndugu yangu umemaliza haya turudi kwenye swala muhimu KUROOT SIMU YETU ILI UFANIKIWE BILA PC UFANYEJE ? BINAFSI NAKWAMBIA HUWEZI ROOT SIMU INAYOANZIA NA VERSION 6.0 BILA PC HAPO NDUGU MPK PC ILA ZINAZOSHUKA MPK CHINI TWANGA BILA PC MZIGO UNAKAA VEMA ASEE ..

HAYA INGIA GOOGLE SEAECH AU MOZILLA AU CHROME SEARCH KITU KINAITWA KING ROOT APK DOWNLOAD ,HII HAINA CHENGA HAYA INSTALL ILA KUWA MAKINI UKIWA UNAINSTALL SUBIRI HAPO YATATOKEA MAANDISHI YANAKUKATAZA USIINSTALL KUNA KAMSHALE KANAMNA HII^ ,Ila kameelekezwa kwa chini haya click hapo keep unsafe itatokea bonyeza hapo na itainstall ikimaliza fungua hiyo king root then anza process za kuroot kuna kamshale kanajitokeza ukifungua king root namna hii ^ bonyeza hapo mpk litokee neno start haya itaanza kustart mengine utayaona na kusolve taratibu na bakia hapo hapo itachukua km dakika 6 au 5 kumaliza na kukuambia ROOT SUCESSFULLY haya weka ROOT CHECKER ipo playstore ili kujiridhisha km kweli ikikwambia CONGRATULATION jua tyr mpk hapo anza kuitengenezea simu yako mambo mazuri kama Lucky patcher ,titanium,l _battery n.k .

MPK HAPO TUMEMALIZA ULIZA NAWE
 
Sorry, nielewesheni zaidi faida na hasara za kuroot cm
Faida zake .
1.kuiongezea utendaji kazi simu yako kwa kuweka android version mpya baada ya kuroot.
2.Simu yako kuweza kutunza moto.
3.Simu yako kuwa na uwezo wa kuondoa application ambazo zimekuja na simu ambavyo si rahisi kuondoa km haunaroot simu yako .
4.Simu yako kuwa na uwezo wa kudownload application ambazo zilikuwa zikakataa ila baada ya kuroot hukubali .
5.Simu yako kuwa salama na huru kufanya wizi wa vitu vilivyopo playstore ambavyo vingine vinakuja na licences lkn ukiroot utaiba application na kuondoa licences yake au kuonesha umelipia kitu na kupewa vertification km poweramp ,titanium key premium n.k

ZIPO FAIDA NYINGI LAKINI NI BAADHI TU NIMEKUPA HIZO .

HASARA SASA

1.KUONDOA WARRANTY KWENYE SIMU YAKO .

2.SIMU YAKO KUSTUCK WAKATI UNAPEROOZ VITU ILA UKIFUATA MUONGOZO VEMA HILI HUTOKUTANA NALO .

3.KUUA SIMU MILELE NA MILELE KM HUTOFUATA SHERIA ZA KUROOT SIMU .
4 .SIMU YAKO KUWA NA ADS WENGI MPK UWEKE AD BLOCKS ILI KUWAONDOA .


NI HAYO TU HAYA LETENI MENGINE .
 
Back
Top Bottom