Ninafaidika sana na comments zenu! Japo nabaki na maswali machache!
1. Volcano box ni kiasi gani Tsh.?
2. Universal ni kiasi gani Tsh ?
Mwisho ni duka/ofisi uhakika gani zinauzwa ?
@ C6 NA WENGINEO: naweza pata wapi walimu wa kufundisha kuflash simu aina zote MIMI NIKO TABATAkinyerezi na inagharimu kiasi gani na inachukua muda mtu kumaliza masomo.