Jinsi ya kuchakachua mtungi wa Gesi

Jinsi ya kuchakachua mtungi wa Gesi

mjuba101

Senior Member
Joined
Oct 24, 2013
Posts
159
Reaction score
65
Ndugu wadau kama mnavyojua mwaka 2013 ulikua ni mwaka wa kuchakachua kuanzia ving'amuzi, Modem, Umeme wa Tanesco, Ma PD Proxy, Ma Tunnel Guru nk

Na mimi naona ni wakati muafaka nikawafundisha jinsi ya kuchakachua mtungi wa gesi, kazi yako we inakua ni kupika, kuchemsha, mwaka mzima wa 2014.

Kwa wanaohitaji tutafutane hapa 0716399697

JF idumu
 
Una maanisha moto unawaka lakini gesi haitoki!
Labda anza kuchakachua mafuta yasiishe kwenye gari wakati linatembea!
 
Ndugu wadau kama mnavyojua mwaka 2013 ulikua ni mwaka wa kuchakachua kuanzia ving'amuzi, Modem, Umeme wa Tanesco, Ma PD Proxy, Ma Tunnel Guru nk

Na mimi naona ni wakati muafaka nikawafundisha jinsi ya kuchakachua mtungi wa gesi, kazi yako we inakua ni kupika, kuchemsha, mwaka mzima wa 2014.

Kwa wanaohitaji tutafutane hapa 0716399697

JF idumu

We sasa unataka tupike bomu labda
 
dah!? kusema kweli hakuna siku nimecheka kama hii ya leo! kama uchakachuzi basi hii nouma! hadi naogopa maana hapo ni kifo tu sio kuchakachua tena!
 
hahahahahahahahahahahahahahahah nimekubali hiyo ni twenzetu ndugu hakuna kukaa kaa tu bila dili mjin hapa lazima kila mtu awe don
 
Una maanisha moto unawaka lakini gesi haitoki!
Labda anza kuchakachua mafuta yasiishe kwenye gari wakati linatembea!

mzee badilisha hiyo thread chini mkaa umeanza kuuzwa kama utabisha do research wabeja sana kwa kuelewa
 
Hahhahaahahhahhahaah yaaani Bongo ni survival for the Fittest kutfta njia rahisi tu ya kuishii maisha mazuri nadhani wale ndgu zangu wana elewa mfano FREE DSTV free Internet yenye kasi Free Movies tena HD free Umeme wa Tanesco Free Water kuoga 24/7 Free kals and Txt sasa tunataka kupika kwa nishati bora ila bure hahahahahahahhaahahhahaah gas uuuuwiii hapa kutoboa bomba la gesi t
 
Ndugu wadau kama mnavyojua mwaka 2013 ulikua ni mwaka wa kuchakachua kuanzia ving'amuzi, Modem, Umeme wa Tanesco, Ma PD Proxy, Ma Tunnel Guru nk

Na mimi naona ni wakati muafaka nikawafundisha jinsi ya kuchakachua mtungi wa gesi, kazi yako we inakua ni kupika, kuchemsha, mwaka mzima wa 2014.

Kwa wanaohitaji tutafutane hapa 0716399697

JF idumu
Nimeipiga hiyo namba, aliepokea anasema hapo ni Mochwari ananiuliza ninashida gani? MAJANGA!
 
Back
Top Bottom