Jinsi ya kuandika barua ya Uchumba

gwambali

JF-Expert Member
May 10, 2011
230
76
viewer (1)hhg.png
Salams Wana JF wenzangu!

Kama mnavyo jua changamoto za maisha zimetufanya tuwe mbali na familia zetu, hivyo yanapo kuja mambo muhimu ambayo yanahitaji usaidizi wa kifamilia imekuwa shida sana kwa vijana wengi.... Mimi ni kiwa kama kijana ambaye nahitaji kuwa na mwenza wangu wa maisha nimepitia katika kipindi kigumu sana hasa cha kupata watu wakaribu ambao watanisaidia kufanikisha jambo ili..

Nahitaji kupeleka barua ya posa kwa wazazi wa mchumba wangu, tatizo nililokumbana nalo ni watu wakaribu yangu ambao wanaona ili swala kama vile ni kubwa mna, Kabila langu ni mchaga mila na desturi zetu zinatofautiana na baadhi ya makabila ya hapa Tanzania hasa kwenye swala la kuposa binti.

Mila zetu ni kwamba unatafuta wazee watatu mnawatuma kwenda kwa wazazi wa binti wakiwa na Soda au Mbege, na wakifika kule watajieleza wenyewe kwajinsi wanavyo jua na baada ya hapo watajibiwa na wazazi wa binti na kupangiwa mahari na baada ya hapo wanarudi kukujulisha...


Mchumba wangu ni Mnyaturu, kwa mujibu wa mchumba wangu ameambiwa na wazazi wake natakiwa niandike barua ya posa ikiwa na kishika uchumba, ambapo itapelekwa na watu wazima kama wa 3 hivi.. Hapo ndipo palipo nipa mtihani kidogo, kwamba hiyo barua inaandikwa vipi? nimejaribu kuongea na ndugu zangu wameniambia wao hawakupitia utaratibu wa kuandika barua bali walituma watu tu...

Jamani naombeni mnifungue macho kwa maelekezo wa jinsi ya kuandika hiyo barua..


Kwa mujibu wa thread moja humu JF imenipa mwaga kidogo,

Kujitambulisha kwa wazazi wa binti ina maana ifuatayo:

1. Unapeleka posa rasmi kwa wazazi wa binti kuwa unamchumbia binti yao na siku si nyingi utafunga naye ndoa
2. Kujitambulisha na kupeleka posa rasmi unatangaza kwamba sasa umeji-commit kwa huyo binti na utatambuliwa rasmi na familia pamoja na ukoo mzima wa upande wa binti.
Kujitambulisha kunaambatana na kupangiwa mahari (kulingana na taratibu za kabila husika)
3. Ukishapangiwa mahari utatoa sehemu ya hiyo mahari au yote siku hiyohiyo (kutegemeana na taratibu zao), unatakiwa kufanya homework kabla hujaenda ili kujua mahari ikoje au inahusisha mambo/vitu gani.

Mambo muhimu ya kuzingatia:

1. Usiende wewe peke yako au vijana wa rika yakeo pekee
2. Unatakiwa uende na mzazi wako au mzazi mlezi au mwakilishi wa mzazi wako ambaye ana umri sawa na baba yako mzazi atakayekuwa mzungumzaji kwa niaba yako, wewe utatambulishwa kwa wazazi wa binti na huyo mzazi wako. Pia andaa mtu mwingine atayekuwa mshenga wako, atakayekuwa anawasiliana na familia ya binti pale kutakapokuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
3. Kujitambulisha ni tukio kubwa kwa upande wa wazazi wa binti, hivyo usiende kwa kushtukiza, mwambie binti awaambie wazazi wake kuwa kuna ugeni muhimu unakuja siku fulani kwa shughuli fulani (kadri utakavyokuwa umepanga), maana familia nzima, ndugu na ukoo wa binti utajiandaa kuwapokea, hakikisha unaenda siku hiyo.
4. Fanya homework yako mapema ya mahitaji muhimu yanayotakiwa kwa shughuli husika (kama vile barua ya uchumba, ama anakabidhiwa binti mapema ili apeleke kwa wazazi wake) siku kadhaa kabla haujaenda.

N.K.

Ng'ongoampoku Amenifungua hapa kwa jinsi ya kuiandika barua ya posa, pia ningependa kujua zaidi ya hapa.


wapendwa wazazi watarajiwa!

Mimi naitwa fulani bin fulani, ni mzaliwa wa pili katika familia ya Obama yenye jumla ya watoto watano, naomba kuzaliwa katika familia yenu kupitia kwa binti yenu mpendwa Pretta niliyefahamiana naye hapa Jamii forum na facebook. Naomba Kumposa Preta kufuatana na mila desturi na dini na msichana.

katika familia yetu hakuna wala sijawahi kusikia kama kuna magonjwa ya kurithi.

Naambatanisha barua hii na kishika uchumba cha laptop moja aina ya Dell optilex yenye thamani ya dolari elfu mbili.

Wenu mwanenu mtarajiwa


Fulani bin Fulani wa Kigambonino Dar
:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
Nimepata Sampuli ya barua ya posa inavyo takiwa kuwa toka kwa ndugu Lighondi


Na imani hii thread itakuwa msaada kwangu na kwa wengine wengi tu, Tafadhalini na wakaribisha kwa michago yenu.
 

Attachments

  • SAMPLE 1.docx
    13.8 KB · Views: 1,798
ngoja nikusaidie kuandike hiyo barua ya posa.

ni mimi..................................nimekuja kumposa binti yenu.........................toka nilipomuona kwa mara ya kwanza binti yenu mapigo ya moyo yalienda mbio,nikawa kula sili,kulala silali,nikinywa maji namuona kwenye glass,nilichompendea binti yenu adi nikaona nilete posa,ni ayo mahaga yake hips,ana hips za ukweli bila kusahau inyegwede,tukija kwenye macho yake akiniangalia ni kama ananiita,yani kutoleta posa kwenu ingekuwa ni jambo ambalo ningejutia sana.
pia chuchu zake ni saa 6 kwa kweli nikaona nilete posa leo,infact mkiniruhusu nimuoe binti yenu mtaenjoy sana,mtakula bata,nampango fungate pia niwashirikishe na nyie wazazi twende sote,mtafurahi sana yani msipoteze hii bahati ivo mniruhusu ni muoe bint yenu.
nina sababu kubwa ya kuwaambia mniruhusu nimuoe binti yenu,mimi niko na pesa sana mtaenjoy for da rest of ur life,
ni wako mme mtarajiwa wa binti yenu mashalah.................
weka sahihi.......................
tarehe.........................

huu ni mtazamo wangu wakuu nimemsaidia ili apewe mke na posa ikubaliwe,mia
 
ngoja nikusaidie kuandike hiyo barua ya posa.

ni mimi..................................nimekuja kumposa binti yenu.........................toka nilipomuona kwa mara ya kwanza binti yenu mapigo ya moyo yalienda mbio,nikawa kula sili,kulala silali,nikinywa maji namuona kwenye glass,nilichompendea binti yenu adi nikaona nilete posa,ni ayo mahaga yake hips,ana hips za ukweli bila kusahau inyegwede,tukija kwenye macho yake akiniangalia ni kama ananiita,yani kutoleta posa kwenu ingekuwa ni jambo ambalo ningejutia sana.
pia chuchu zake ni saa 6 kwa kweli nikaona nilete posa leo,infact mkiniruhusu nimuoe binti yenu mtaenjoy sana,mtakula bata,nampango fungate pia niwashirikishe na nyie wazazi twende sote,mtafurahi sana yani msipoteze hii bahati ivo mniruhusu ni muoe bint yenu.
nina sababu kubwa ya kuwaambia mniruhusu nimuoe binti yenu,mimi niko na pesa sana mtaenjoy for da rest of ur life,
ni wako mme mtarajiwa wa binti yenu mashalah.................
weka sahihi.......................
tarehe.........................

huu ni mtazamo wangu wakuu nimemsaidia ili apewe mke na posa ikubaliwe,mia

Dah! hii hataree!! lazima urudishwe na posa yako... Nashukuru hata hivyo mkuu!
 
Nimepitia zoezi hili mimi mwenyewe mwaka juzi na mwakajana nimesimamia hili zoezi kwa rafiki zangu wawili. nipm email yako nikutumie sampuli utachagua unayotaka. taarifa za muhimu ni anuani zote mbili kwenu na kwao, lengo la barua, utambulisho wako wewe baba yako na mama yako, unakotoka hapa mjini na kule mgombani kwenu. Then unataka kumposa nani (ful name pamoja na ya wazazi wake na mahali wanakotoka) Then maliza barua yako kisha weka saini.
 
Nimepitia zoezi hili mimi mwenyewe mwaka juzi na mwakajana nimesimamia hili zoezi kwa rafiki zangu wawili. nipm email yako nikutumie sampuli utachagua unayotaka. taarifa za muhimu ni anuani zote mbili kwenu na kwao, lengo la barua, utambulisho wako wewe baba yako na mama yako, unakotoka hapa mjini na kule mgombani kwenu. Then unataka kumposa nani (ful name pamoja na ya wazazi wake na mahali wanakotoka) Then maliza barua yako kisha weka saini.
Shukrani mkuu, Ngoja ni ku-PM
 
Nimepitia zoezi hili mimi mwenyewe mwaka juzi na mwakajana nimesimamia hili zoezi kwa rafiki zangu wawili. nipm email yako nikutumie sampuli utachagua unayotaka. taarifa za muhimu ni anuani zote mbili kwenu na kwao, lengo la barua, utambulisho wako wewe baba yako na mama yako, unakotoka hapa mjini na kule mgombani kwenu. Then unataka kumposa nani (ful name pamoja na ya wazazi wake na mahali wanakotoka) Then maliza barua yako kisha weka saini.
mkuu kwaajili ya vijana wengine wa hapa jf hebu wawekee aina ya barua hiyo wajue inafananaje??
 
Ningekua sijaoa, i would have gone for this...lolz!
Umenichekesha sana mpwa!

ngoja nikusaidie kuandike hiyo barua ya posa.

ni mimi..................................nimekuja kumposa binti yenu.........................toka nilipomuona kwa mara ya kwanza binti yenu mapigo ya moyo yalienda mbio,nikawa kula sili,kulala silali,nikinywa maji namuona kwenye glass,nilichompendea binti yenu adi nikaona nilete posa,ni ayo mahaga yake hips,ana hips za ukweli bila kusahau inyegwede,tukija kwenye macho yake akiniangalia ni kama ananiita,yani kutoleta posa kwenu ingekuwa ni jambo ambalo ningejutia sana.
pia chuchu zake ni saa 6 kwa kweli nikaona nilete posa leo,infact mkiniruhusu nimuoe binti yenu mtaenjoy sana,mtakula bata,nampango fungate pia niwashirikishe na nyie wazazi twende sote,mtafurahi sana yani msipoteze hii bahati ivo mniruhusu ni muoe bint yenu.
nina sababu kubwa ya kuwaambia mniruhusu nimuoe binti yenu,mimi niko na pesa sana mtaenjoy for da rest of ur life,
ni wako mme mtarajiwa wa binti yenu mashalah.................
weka sahihi.......................
tarehe.........................

huu ni mtazamo wangu wakuu nimemsaidia ili apewe mke na posa ikubaliwe,mia
 
ngoja nikusaidie kuandike hiyo barua ya posa.

ni mimi..................................nimekuja kumposa binti yenu.........................toka nilipomuona kwa mara ya kwanza binti yenu mapigo ya moyo yalienda mbio,nikawa kula sili,kulala silali,nikinywa maji namuona kwenye glass,nilichompendea binti yenu adi nikaona nilete posa,ni ayo mahaga yake hips,ana hips za ukweli bila kusahau inyegwede,tukija kwenye macho yake akiniangalia ni kama ananiita,yani kutoleta posa kwenu ingekuwa ni jambo ambalo ningejutia sana.
pia chuchu zake ni saa 6 kwa kweli nikaona nilete posa leo,infact mkiniruhusu nimuoe binti yenu mtaenjoy sana,mtakula bata,nampango fungate pia niwashirikishe na nyie wazazi twende sote,mtafurahi sana yani msipoteze hii bahati ivo mniruhusu ni muoe bint yenu.
nina sababu kubwa ya kuwaambia mniruhusu nimuoe binti yenu,mimi niko na pesa sana mtaenjoy for da rest of ur life,
ni wako mme mtarajiwa wa binti yenu mashalah.................
weka sahihi.......................
tarehe.........................

huu ni mtazamo wangu wakuu nimemsaidia ili apewe mke na posa ikubaliwe,mia

tehe!tehe!tehe!tehe!
Hapa lazima upewe mke bure!
 
Jamani nataka kuchumbia,nimeambiwa nipeleke barua,naomben kwa wazoefu wanisaidie huwa inakuaje? Contents na je ni kama official au?
nisaidieni
 
Jamani nataka kuchumbia,nimeambiwa nipeleke barua,naomben kwa wazoefu wanisaidie huwa inakuaje? Contents na je ni kama official au?
nisaidieni

Mkuu ushi hongera kwanza kutaka kuoa.Tafuta wazee wa hapo mtaani nadhani wanaweza kukusaidia kwenye hilo.
 
Hongera sana!
Nimeoa Mnyaturu,nilianza kwenda ukweni kabla ya kutoa posa coz nilikuwa namega kisela,siku ya ndoa nilipigwa faini ya pesa.Bint ni alikuwa akiishi Dar so mambo ya kutoa ng'ombe 5 hayakunipata coz gharama ya moo m1 si mchezo.
Unataka kujua mila za kinyaturu unapoenda ukweni?
 
Back
Top Bottom