MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,765
- 9,245
Iko dhahiri kuwa padri hajawahi andika hiyo barua hata mara moja, vipi ataweza kweli kumwelekeza vilivyo?Basi nenda kwa Padri wako akuelekeze .......Ila nae Padri atakuonea donge akisikia mzee unaoa,
Aende tu kwa shekhe hakuna noma