Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Kwa kawaida Mzazi hutangulia kabla ya mtoto, ingawaje hutokea pia mtoto kuanza, Maandiko yanasema Baba humpokea mtoto Duniani na mtoto humsindikiza Baba kutoka Duniani.
Sasa nimeona ni muhimu kama Mwanaume ujitayarishe jinsi utakavyodili na msiba wa Baba yako,utapanga vipi mazishi, maziko na hata baada ya mazishi kuisaidia Familia kusimama na kusonga mbele.
Mapendekezo ushauri unahitajika, jinsi ya kuandaa mazishi ya Baba, pindi utokeapo, ...
1. Weka akiba ya fedha ili uwe na pa kuanzia kabla ya kuchangiwa.
2.Jifahamishe ni wapi Baba yako angependelea kulazwa pindi aondokapo hili unaweza kulifanya kwa kumuuliza.
3.
Sasa nimeona ni muhimu kama Mwanaume ujitayarishe jinsi utakavyodili na msiba wa Baba yako,utapanga vipi mazishi, maziko na hata baada ya mazishi kuisaidia Familia kusimama na kusonga mbele.
Mapendekezo ushauri unahitajika, jinsi ya kuandaa mazishi ya Baba, pindi utokeapo, ...
1. Weka akiba ya fedha ili uwe na pa kuanzia kabla ya kuchangiwa.
2.Jifahamishe ni wapi Baba yako angependelea kulazwa pindi aondokapo hili unaweza kulifanya kwa kumuuliza.
3.

ok!