Jinsi ya kuandaa Msiba wa Baba yako!

Jinsi ya kuandaa Msiba wa Baba yako!

Najua kufa ni lazima na kila mtu atakufa, ila naogopa kuwaza kwamba Baba yangu atakufa siku moja, naogopa jamani.

Kama wewe ni Mwanamke ni haki yako, hii ni kwa ajli ya watoto wa Kiume, ambao ni lazima waonyeshe Uanaume kwa kuweza kumzika Baba na kumudu mazishi yake!
 
Tokea lini msiba kuna kujipanga?
 
Kwa sisi wenyeji wa Pwani ieleweke msiba si jambo la mtu mmoja ikitokea lazima mipango ya mazishi itapangwa na kikao halali cha wana ukoo/familia.
Na ieleweke maiti ya baba yako sio yako wewe. wenyewe ni baba zake au kaka zake kama bado wapo hai,,
Wewe mtoto utashirikishwa tu pindi wakipenda kukushirikisha ktk maamuzi watakayaona inafaa
 
Najua kufa ni lazima na kila mtu atakufa, ila naogopa kuwaza kwamba Baba yangu atakufa siku moja, naogopa jamani.
Haha hizo zinatokeaga gafla tu ata usiogope
Na inapotokea ndo utajua utakabilianaje na hyo hali
 
Huyu kuna kitu alitaka aandike wala sio hichi so tumpe muda ataongea tu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom