Wadau naomba msaada wa kujuzwa namna ya kubaini mahali ilipo simu kwa kutumia aidha serial number au imei number
Naomba kwa anayefahamu wapi kwa Dar es Salaam au Arusha naweza kupata msaada wa kutaftiwa simu yangu iliyoibiwa, Nimeambiwa hiyo kitu inafanyika now, ni smart phone Nokia lumia na nakumbuka IMEI number zake.
Habari wana JF,
Last week mitaani fulani ya Buguruni niliibiwa simu yangu, Samsung note 3, nakumbuka niliziandika imei za hiyo simu but juzi ndo nikawa nimepata imei sehemu ambayo nilikuwa nimeziandika..
Hivi nikisema nianze kuifuatilia kuna uwezekano wa kuipata...
Kinacho nipa wasiwasi ni kupoteza muda na fedha lakini na mwisho wa siku nisiipate...
Msaada wana JF...
Wadau, nimeibiwa simu. Naomba kuuliza ikiwa kuna namna naweza kuipata simu iliyoibiwa. Na je kama ninazo IMEI namba inaweza saidia kui-trace simu au kuiblock? Msaada plz.Na je sheria mpya ya uharifu mitandaoni inahusika hapa?
Msaada wenu jamani! Mimi nimeibiwa simu yangu aina ya SAMSUNG Galaxy Note II. Ninayo IMEI ya simu hiyo. Je ni hatua gani nizifuate kupata kumjua mtumiaji wa sasa? Kwa yeyote mwenye ujuzi na hilo naomba anisaidie.
Kuna app inaitwa NQ Security ambayo itakupa msg wakati wowote mtu anapo swap simcard kwenye simu yako. App hiyo ina uwezo wa kulocate area simu ilipo na hata kumpiga picha 'mwizi wa simu yako na kuituma kwenye email address yako. Waweza kuifunga simu, kufuta data remotely na zaidi waweza iamuru simu iliyoibiwa kupiga alarm na kumletea usumbufu 'mwizi wako'.