Girlie Girlie
Member
- Feb 19, 2011
- 87
- 4
ambae hajawahi ku-cheat anyooshe kidole
Wako wengi tu ambao hawajawahi kucheat heck unaweza kukuta ata muanzisha thread mwenyewe hajawahi kucheat.ambae hajawahi ku-cheat anyooshe kidole
Ya nini kuwa na wapenzi wa kubadilishana simu na email wakati machangudoa wapo kibao na unapewa huduma baada ya hapo hakuna cha kupeana namba za simu wala email, unalipa unaishia.
Tena uzuri wa changudoa kondom ni lazima lakini hizi nyumba ndogo kuna wakati mnazoeana hamtumii kondom tena.
Halafu hiyo kanuni ya kupeleka zawadi kwa mwenzi wako baada ya kucheat itasababisha watu watiliwe shaka hata pale ambapo ni zawadi ya ukweli isiyo na unafiki nyuma yake.
ambae hajawahi ku-cheat anyooshe kidole
Wako wengi tu ambao hawajawahi kucheat heck unaweza kukuta ata muanzisha thread mwenyewe hajawahi kucheat.