Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 1,990
- 3,821
Zaidi soma hapa




Hii habari inawahusu wao nao ruto anataka kuendesha bungeZaidi soma hapa
Najua, lakini nawe unajua kinachoendelea kwetuHii habari inawahusu wao nao ruto anataka kuendesha bunge
😅😅Unga wa ugali kwao ni shida,wakome kufuatilia maisha yetu tutapambana wenyewe kuing'oa ccm
😅😅Ndyo maana weusi sana
![]()
Unaongelea hawa wanaoongozwa na majambazi wawili Ruto na Gachieka? The country went to the dogs many years ago
Kwa sasa ukipata nafasi kula mkuu au tafta mchongo kama alivyosema faiza foxy kwenye huu mchongo maana kwa sasa hakuna kitakachobadilika tunavutiwa zaidi na nani kachukua kiatu cha mchezaji bora hivyo utakasirika lakini muda wa mabadiliko badoNajua, lakini nawe unajua kinachoendelea kwetu
bunge la kenya au letu analoliongelea?
CCM inawajua watu wake,ikishawapa kanga na sukari kilo tano, watacheza kale kawimbo ka CCM mbele kwa mbeleUnga wa ugali kwao ni shida,wakome kufuatilia maisha yetu tutapambana wenyewe kuing'oa ccm
Hio habari ni bunge la kenya