mmmuhumba
JF-Expert Member
- Nov 8, 2017
- 491
- 476
Hivi huwa ni hulka au mbwembwe tu, kwamba mpenzi au mwenza wako anakutumia ujumbe alafu unamjibu kwa mkato kama vile humjui au utaki akutafute.
Hata kama ni salamu, taarifa ama chochote wewe unakuwa ni wa mkato na kukausha. Kila siku unataka yeye ndiyo awe kwa kwanza kukutafuta wewe na majibu yako ni mkato. Akiamua kuwa kimya, unalalamika anakutenga ama hakupendi.
Hili jambo ni la kipumbavu katika mahusiano na maisha ya mawasiliano, kuna haja watu wajue nini maana ya;
1. Mawasiliano.
2. Mahusiano.
3. Kuheshimiana.
4. Kuzungumza.
5. Wajibu wao.
Ikiwa unamkataa mtu mkatae atambue na kama ni pozi siyo kwa wanaume wala wanawake, basi ni ulimbukeni.
Faida ya mawasiliano ni wewe na mwenzio kufikia maelewano.
Kushuka thamani wakati mwingine unakutengeneza mwenyewe.
Na mmmuhumba.
#imarika
#hakuna anayetafuta mapenzi ili akateseke.
Hata kama ni salamu, taarifa ama chochote wewe unakuwa ni wa mkato na kukausha. Kila siku unataka yeye ndiyo awe kwa kwanza kukutafuta wewe na majibu yako ni mkato. Akiamua kuwa kimya, unalalamika anakutenga ama hakupendi.
Hili jambo ni la kipumbavu katika mahusiano na maisha ya mawasiliano, kuna haja watu wajue nini maana ya;
1. Mawasiliano.
2. Mahusiano.
3. Kuheshimiana.
4. Kuzungumza.
5. Wajibu wao.
Ikiwa unamkataa mtu mkatae atambue na kama ni pozi siyo kwa wanaume wala wanawake, basi ni ulimbukeni.
Faida ya mawasiliano ni wewe na mwenzio kufikia maelewano.
Kushuka thamani wakati mwingine unakutengeneza mwenyewe.
Na mmmuhumba.
#imarika
#hakuna anayetafuta mapenzi ili akateseke.