Jinsi Simu Zinavyoibwa Usiku Kupitia Dirishani

Jinsi Simu Zinavyoibwa Usiku Kupitia Dirishani

attachment.php

hadi mimi mwenyewe wamenichomoa hapo



Mimi kuna mijamaa ilinitokea kutaka kuniibia kwa style hii, baada ya kushituka na kuona hiki kijiko nikakaa hapo. Jamaa wakashindwa kunibeba, kila walivyojitahidi walishindwa mpaka asubuhi watu wakawakutia na kuwashika kisha kuwaua na kuwachoma moto.
 
Mimi walinipulizia dawa nikalala kuliko kawaida, je ni dawa gani na inapatikana wapi?
 
Mimi kuna mijamaa ilinitokea kutaka kuniibia kwa style hii, baada ya kushituka na kuona hiki kijiko nikakaa hapo. Jamaa wakashindwa kunibeba, kila walivyojitahidi walishindwa mpaka asubuhi watu wakawakutia na kuwashika kisha kuwaua na kuwachoma moto.



Hii chai tupe na vyapati vyakutafunia basii
 
hawa watu nina hasira nao sana yaan nikukumbuka kahama nimelala kama dk 15 tu kuamka washachukua pc,na simu halafu kuipgia simu jamaa akapokea
 
hawa watu nina hasira nao sana yaan nikukumbuka kahama nimelala kama dk 15 tu kuamka washachukua pc,na simu halafu kuipgia simu jamaa akapokea

Mkuu mimi nikikuta wanapiga mwizi huwa natafuta bonge la jiwe napiga mguu mmoja mpaka uvunjike nakata kona nina hasira nao sana walinikomba vitu vyote wakaniacha na pensi tu hapo ni njiani na nondo wakanipiga mijitu yenyewe ilikuwa saba
 
Back
Top Bottom