Tatizo unawapigia sana dada zao..
Hiyo njia wanayotumia kuiba,wanaiita JORDAN.....hahahahah
![]()
hadi mimi mwenyewe wamenichomoa hapo
Ntakuwa naiweka chini kabisa
hawa jamaa walitungua suruali yenye vitambulisho, mpaka Leo nna hasira nao.
Hiyo njia wanayotumia kuiba,wanaiita JORDAN.....hahahahah
...dah,mi Lindi walinipiga vitambulisho,mapene yote hadi busta ya babu,wakaniachia tiketi ya bus tu blalfuu!
...mwenye guest ndo akanitoa mabovu ya kula njiani!
...hadi leo sijawasamehe!
![]()
hadi mimi mwenyewe wamenichomoa hapo
Lindi ni majanga zaidi tena kwenye magesti.
Niliibiwa begi zima na asubuhi yake nilikua na Presentation.
Yani nimetoka jioni ile kwenda kula, narudi nikakuta washafanya yao.