hawa jamaa walitungutypa suruali yenye vitambulisho, mpaka Leo nna hasira nao.
mpaka Leo kuna vingine sija vi recover. Nilipata usumbufu ambao sitausahauhahaha wakabeba vitambulisho.swissme
hiyo inaitwa bahati ya mtende kuota jangwani
Ila wengine ni wastaarabu, waliniibia simu wakatoa line wakaiacha dirishani.
Yaani walinishangaza sana, afu unakuta ni madogo wa kitaa.
😅😅😅😅....
Hao hata ukiwakuta na hiyo simu unawaachia tu!.