Mkuu usiwe mvivu wa kusoma . Upandishwaji vyeo umesitishwa kwa muda maalum kwa kazi maalum ya kuhakiki orodha ya wafanyakazi wote. Usiwe mpotoshaji wa hoja. Too little knowledge is dangerous!
hvi umesoma uzi kweli au unakurupuka tu kujibu bila kuelewa jambo linaloongelewa hapa? hivi, kwa mfano Dr Makufuri anapozuia watumishi wasipandishwe vyeo wala kulipwa fedha za likizo unaona yuko sawa? labda twende na hoja moja moja ndipo utanielewa.