tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,157
- 18,823
- Thread starter
- #161
TAMKO LA MIGODI ITAKAYOTANGAZA HASARA kumbe ndio maana ya ASILIMIA 4?Tujifunze kulipa kodi. Watu walipe kodi.
Huna unachojua kuhusu hiyo asilimia 4 kwa sasa ya kwenye madini ni nini. Tamko limekwisha toka la kuangalia migodi inayotangaza hasara.