Jinsi nilivyotapeliwa na mtu niliyedhani ni mhitaji kumbe ni tapeli

Afu huyo mzee namkumbuka, ana bichwa kubwa kama ndugai
 
Duuh pole Sana
 
Huu mkasa umenikumbusha mzee mmoja nilikutana naye kule mwanza yupo smart tu kimtindo akanijia kashika 200 mkonini akaniambia mtoto wangu nimepungukiwa Mia 200 nauli nataka nirudi nyumbani national igoma Basi nikatoa buku nikampa ,tukaachana nikajua kapanda daladala ile napiga misele nikamkuta yupo kasimama na dada mmoja anampanga Kama alivyonipanga Mimi na Mia mbili yake mkononi ....daa mjini shule
 
Pole sna lakini hongera kwa kuonesha huruma na utu.Jina lako Sasa litahifadhiwa katika makabati yote ya Africa na litaandikwa kwa wino wa dhahabu.
 
Weee!! huku poteza yaani kwanza natamaniga niwe na Moyo km huo!! sijui kwa nini siupati!! km ulitoa kwa Moyo wako wote yaani Mungu ninae mjua atakubariki mpaka ushangae!!! endelea wala usiangalie nyuma na kujiuliza maswali meengi!
 
Lkn sasa hivi unajionaje?? si una kipato kizuri weee endelea tu!! watu wengi humu hawajui siri ya kutoa angalia Donor Countries zinavo neemeka!!! siku nikiwa Rais nitaishangaza USA kwa kuipa misaada wallah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…