Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

Jinsi nilivyoongea na viumbe wa ajabu

kwanza kitendo cha kutoka nje usiku wa manane na kwenda kukaa chini ya mti peke yako si kitendo cha kawaida.
Ni kitendo cha kawaida sana kw sietuliosoma boarding shule za kiume.
Pale Tosa boys enz ile hiyo ilikua ni mida ya kawaida sana na movement za watu kuingia na kutoka private prepo ziko zinaendelea.Plus mitandao ya cm enz hizo longa nae au chombeza time tulikua tunaongea na madem zetu w iringa zoo au ifunda girls
 
WAJUE VIRUS KWA UFUPI
Virus au Kirusi kwa kiswahili ameundwa na either DNA au RNA. Sitaelezea DNA na RNA hapa maana ninachotaka tupateuelewa wa kile ninachotaka kukiongea.

Kuna kitu kimoja kinaitwa genome "Jumla ya taarifa zilizobebwa na Cell moja au Kiumbe". Sasa hawa Virus wapo wa aina nyingi sana. Wale wadogo wanaweza kubeba taarifa 10-12.

Kama umepitia DNA utajua kuwa imeundwa na Adenine,Thymine,Guanine na Cytosine. Virus wadogo wadogo wanabeba taarifa hizo na kuzificha(encode) kwenye Thymine.

Kila taarifa kwenye Cell inakuwa na Identity yake. Structure ya DNA inakuwa na Identity yake maan mle ndani kuna taarifa ambazo zimekuwa encoded.
Taarifa hizo ukizijua na ukajua namna ya kuzisoma unaweza kuzihamisha toka sehemu moja kwenda nyingine.


.....Naendelea.....
 
WAJUE VIRUS KWA UFUPI
Virus au Kirusi kwa kiswahili ameundwa na either DNA au RNA. Sitaelezea DNA na RNA hapa maana ninachotaka tupateuelewa wa kile ninachotaka kukiongea.

Kuna kitu kimoja kinaitwa genome "Jumla ya taarifa zilizobebwa na Cell moja au Kiumbe". Sasa hawa Virus wapo wa aina nyingi sana. Wale wadogo wanaweza kubeba taarifa 10-12.

Kama umepitia DNA utajua kuwa imeundwa na Adenine,Thymine,Guanine na Cytosine. Virus wadogo wadogo wanabeba taarifa hizo na kuzificha(encode) kwenye Thymine.

Kila taarifa kwenye Cell inakuwa na Identity yake. Structure ya DNA inakuwa na Identity yake maan mle ndani kuna taarifa ambazo zimekuwa encoded.
Taarifa hizo ukizijua na ukajua namna ya kuzisoma unaweza kuzihamisha toka sehemu moja kwenda nyingine.


.....Naendelea.....
Mkuu andika yote alafu utuletee hata kama utamaliza masaa mawili badae ila ikamilike ndo ulete hapa
 
WAJUE VIRUS KWA UFUPI
Virus au Kirusi kwa kiswahili ameundwa na either DNA au RNA. Sitaelezea DNA na RNA hapa maana ninachotaka tupateuelewa wa kile ninachotaka kukiongea.

Kuna kitu kimoja kinaitwa genome "Jumla ya taarifa zilizobebwa na Cell moja au Kiumbe". Sasa hawa Virus wapo wa aina nyingi sana. Wale wadogo wanaweza kubeba taarifa 10-12.

Kama umepitia DNA utajua kuwa imeundwa na Adenine,Thymine,Guanine na Cytosine. Virus wadogo wadogo wanabeba taarifa hizo na kuzificha(encode) kwenye Thymine.

Kila taarifa kwenye Cell inakuwa na Identity yake. Structure ya DNA inakuwa na Identity yake maan mle ndani kuna taarifa ambazo zimekuwa encoded.
Taarifa hizo ukizijua na ukajua namna ya kuzisoma unaweza kuzihamisha toka sehemu moja kwenda nyingine.


.....Naendelea.....
Tupo pamoja,nafuatilia.
 
Bora tunaenda sawa maana we mzee wa kupinga tu, msimkatishe tamaa mapema sasa mtakosa kujua kama ni mambo mapya au yaleyale, unajua story ya Magere iliisha?
Mkuu nimeona jamaa ana manisha thus nimekulu saiz, tena nmekuwa na shauku zaid yenu, nadhan kuna kitu mkuu wetu anataka kutusaidia. Niwie radhi kwa mwanzo🙏
 
Ngoja nisubscribe kabisa nisicheze mbali na hii formula itakayoletwa Hapa


Ukitupia unitaq mkuu
 
Tutamshtaki Huyu kiongoz kwa kuwa na unique formula tangu mwaka 1990 leo Ñdo anatoboa Siri ety seriously .
Huenda leo tz tungekuwa mbali zaid kupitia hiyo formula lkn ww ukaimezea


Ww ñdo yule aliyepewa talanta akaenda kuifukia chini sasa yapaswa unwang,anywe
 
Tutamshtaki Huyu kiongoz kwa kuwa na unique formula tangu mwaka 1990 leo Ñdo anatoboa Siri ety seriously .
Huenda leo tz tungekuwa mbali zaid kupitia hiyo formula lkn ww ukaimezea


Ww ñdo yule aliyepewa talanta akaenda kuifukia chini sasa yapaswa unwang,anywe

Wacha tuone hizo formula zake
 
Back
Top Bottom