wewe ni mwanaume maskini sana elf kumi na riba juu watu tunakula zaidi ya hizo na hatujaambiwa turudishe hata mia ndio nyie kanunua sim kampa dem walivyoachana kampokonya acha roho ya kibahili na kimaskini, hio roho sio nzuri unaonekana una gubu, bahili bahili