Jinsi nilivyomlipisha Mwanamke elfu 10

Jinsi nilivyomlipisha Mwanamke elfu 10

We jamaa eti ulifanya research ya utongozaji buhahahaha
 
Mtu kuwa masikini si kitu cha ajabu wala hakistui by the way being poor or rich is the matter of chance.....let me know if your father is rich..
wewe ni mwanaume maskini sana elf kumi na riba juu watu tunakula zaidi ya hizo na hatujaambiwa turudishe hata mia ndio nyie kanunua sim kampa dem walivyoachana kampokonya acha roho ya kibahili na kimaskini, hio roho sio nzuri unaonekana una gubu, bahili bahili
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
Unajiona mwamba bas hapo
 
Back
Top Bottom