umenikumbusha thred ilikuwa inasema utajuaje mwenza 'anataka'siku hio....kuna mmoja alijibu anapalilia maua...😀😀😀........mkuu labda umeshindwa kusoma codes,mwenzako kashajua mkewe ni anapenda kupalilia maua😎...mkeo ni kama alikuwa anataka kuolewa basi,alijua tangu mwanzo hampo compartible....mtu ambae ham match unajua kabisa,alikokota aolewe akaringie mashosts😕...amini hili,tatizo lako linaenda way back mliyokuwa wachumba ...amechoka kupretend na mwili una shut down...hakuna kero kukaa na mpenzi asiyejua mahali pa kushika😕😕😕...na wewe pia huoni aibu kujixpose kuwa sio mzoefu kny mambo yetu yale lol,,,,,,,,,,,mwanamke lazma umpetipeti naseeb alisema,mshukuru akipika,akivaa nguo mpya mwambie amependeza...wanawake sisi ni watu wa emotions..tunapenda kuonewa huruma.....kuwa senstive when handling us,,,,,,,,,,,,,,,sio unakuja kijeshi....hapa naona wanaume wengi hapa wametaja mahari,kwani mahari inanunua papuchi?...hio si zawadi kwa wazazi kwa kulea binti yako....ni ZAWADI KWA WAZAZI....