Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Mabundi ya ATCL 600,000/ go and returntiketi iligharimu bei gani
Mabundi ya ATCL 600,000/ go and returntiketi iligharimu bei gani
We jamaa aisee 😃😃😃😃 umewaza mbali sananakuhakikishia mhamishe mwanao hiyo shule ataishi maisha magumu atanyanyaswa na hatofaulu vizur
Sheikh Isamail Haniyah huyu bila shaka ni moja ya viongozi waandamizi pale mamlaka ya Palestinesamahani kidogo pembeni ya Obama ni nani?
Huyo ni Narendra Modi Waziri Mkuu wa India na kiongozi mkuu wa serikali kutoka katika chama cha Kidemokrasia chenye wanachama wengi zaidi duniani cha BJPSheikh Isamail Haniyah huyu bila shaka ni moja ya viongozi waandamizi pale mamlaka ya Palestine
Jamaa yuko Chuga akamtumia Nauli ya Ndege Madame ambaye yuko Moshi pale..mikoa ipi jirani unatuma nauli ya ndege?
Hakuna direct flight ya Kilimanjaro - Arusha. Chai.Jamaa yuko Chuga akamtumia Nauli ya Ndege Madame ambaye yuko Moshi pale..