Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Yani hicho tu ndo kimenirudishia faraja maana nilimuonea sana huruma ndugu yetu.Kumbe ulishalipwa deni lako ? Story nzuri.
Safi sana mkuu
Yani hicho tu ndo kimenirudishia faraja maana nilimuonea sana huruma ndugu yetu.Kumbe ulishalipwa deni lako ? Story nzuri.
Yani hicho tu ndo kimenirudishia faraja maana nilimuonea sana huruma ndugu yetu.
Safi sana mkuu
daah..hio ilikuwa kali sana
Lol nlijua tuAsant NS...
Sema ni ya kweli... Na ingawa hainihusu mimi,ila ni kisa kilichomtokea huyo baba miaka hiyo.
Na nitaendelea kuwapatia experience za watu mbalimbali ya mambo,vituko,na visa viivyowakuta Watanzania wenzetu..
Lol nlijua tu
Duh! Aibu iliyoje. Ningekuwa mimi ningehama kijiji. Naomba Mungu isije kunitokea maana ni bonge la zali
.. Halafu nilipomwangalia kwa makini yule niliyedhani ni yule binti,nilitamani kupiga yowe kwani alikuwa ni mama yake mzazi!..