jinsi nilivyoacha kupiga punyeto.


sidhani kama hiyo njia ni sahihi saana,coz mtu unapolala usiku unaweza ukaamka labda usiku na kama unavyojua wengi wetu cha kwanza kuamka hasubuhi lazima tujifikiche macho ili tupate kuona vizuri,sasa kama jana yake uliweka pilipili si inakuwa kasheshe??,pia unaweza kwenda haja kubwa usiku au hat hasubuh afu vuta picha unachambia mkono uliojipak pilipl utamu wake umavyokuwa,mi nadhani njia sahihi ni kifanya mazoezi,kuacha kuangalia porn movies,kukaa peke yako na kujishughulisha na mambo mengine ya muhimu...
 
mie niliacha nyeto baada ya kuwajua chungadoa
 

Kumbe hili pia ni janga la kitaifa!!!
 
  1. Master ina faida kibao kwani hata wewe Preta au Heaven on earth nakuvutia hisia hapahapa bafuni na nakumaliza unaingia katika list yangu niliowapitia kimastermaster bila ya wewe kujijua, km MaQueen kibao navutaga picha zao nawamaliza
Kwa sababu hii, basi nyeto idumu
 
mie niliacha nyeto baada ya kuwajua chungadoa
But nyeto ni cheap in terms of:
  1. Time,
  2. Money
  3. Effort za kushawishi
  4. Hakuna limit ya idadi ya wanawake unaowavutia hisia kwa bao moja
But sijawah fanikiwa pamoja na jitihada nilizofanya nikiwa teen yrs, kitu kiliishia kuvimba tu nikapotezea
 
Mbona kazi, zamani madem ndo ilikuwa ngumu kuwapata....!! Hata leo hii bado mnakomaa na puchu
 

weka picha mkuu
 
Last edited by a moderator:
dah hii topic imenichekesha mbaya! Kuna jamaa alinihadithia Tanga huko wakati anapiga kitabu, ikifika mida ya kuoga bafuni huko wanashindana kupiga puchu, mshindi yule anayerusha mbegu mbali hahaa nahisi asilimia 65 ya wanaume wote washawahi pitia puchu!
 
basi ni vyema usijue kabisa habari ya hii ki2, ni mbaya sana aisee! inatutesa sana vijana,. yani ni kama kilevi hivi, ni balaa ndugu! huyu mwenzetu aliefanikiwa kuacha amepiga hatua kweli!!
 
Mbona kazi, zamani madem ndo ilikuwa ngumu kuwapata....!! Hata leo hii bado mnakomaa na puchu
 

majanga. kweli majanga.
 
Dah!! Aisee unafaa upewe tuzo. Hadi kutoboa godoro?
 
Hiyo ya pilipili ndugu yaani jiandae kulia kama mtoto mdogo si chini ya masaa manane kama huamini jaribu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…