warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,455
Pilipili inayo hitajika hapa ni yoyote ile ile mradi iwe kali sana,(Ila inayo pendekezwa ni pilipili mbuzi ama pilipili kichaa,).![]()
MATUMIZI
Kwanza kabla ya kujua matumizi ni vyema ukatambua muda ambao huwa unapiga punyeto ( Mara nyingi huwa ni asubuhi baada ya kuamka,wakati wa kuoga ama usiku kabl ya kulala ).
Chukua pilipili zako, zipasulie kwenye viganja vya vidole vyako na kujipakaza katika viganja vya vidole vyako.Unaweza kutumia pili moja kwa kila kiganja, na kwa kila muda ambao huwa unapiga punyeto lakini unaruhusiwa kujipakaza zaidi ya pilipili moja.
Ukishajipaka pilipili kwenye viganja vya vidole vyako, moja kwa moja unakuwa umekwisha jilazimisha kutokufanya punyeto,kwa sababu ukipiga punyeto kwa viganja ambavyo vina pilipili utawashwa sana wala hautaweza kufurahia tendo hilo.
sidhani kama hiyo njia ni sahihi saana,coz mtu unapolala usiku unaweza ukaamka labda usiku na kama unavyojua wengi wetu cha kwanza kuamka hasubuhi lazima tujifikiche macho ili tupate kuona vizuri,sasa kama jana yake uliweka pilipili si inakuwa kasheshe??,pia unaweza kwenda haja kubwa usiku au hat hasubuh afu vuta picha unachambia mkono uliojipak pilipl utamu wake umavyokuwa,mi nadhani njia sahihi ni kifanya mazoezi,kuacha kuangalia porn movies,kukaa peke yako na kujishughulisha na mambo mengine ya muhimu...