Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Ila kuna mafisi binti kaugua vile kitandani na bado watu wanapiga tu hawaogopi kuzimikiwa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na ukijaribu kuangalia michango ya wadau humu, utaona kwamba wengi wana judge kwa kutumia uzoefu. Siyo kwamba wamesikiliza.
Me nimeangalia part 1 pekee nikacomment before sijamaliza part 2, 3 na 4 kwa kwel leo nimeangalia part 2 na 3 bila hata kuangalia part 4 maswali yote niliyojiuliza huyu binti kanijibia kwenye part 2 na 3 from now natangaza nipo upande wa Lisa mwanzo nilikosea.
 
Dah....
2napo kwama ni hapa kwan kabla hawajakutana 2likuwepo ? Wamekutana sio hatupo wameachana sie yatuhusu nin?
Hata akielezea vp sie watazamaji hatuwez saidia chochote juu ya maisha yao cha muhmu aende msalaban maana yesu alisema njoon nyiny msumbukao na kulemewa na mizigo nami ntawapumzisha. Yesu tu ndio anatosha
 
Me nimeangalia part 1 pekee nikacomment before sijamaliza part 2, 3 na 4 kwa kwel leo nimeangalia part 2 na 3 bila hata kuangalia part 4 maswali yote niliyojiuliza huyu binti kanijibia kwenye part 2 na 3 from now natangaza nipo upande wa Lisa mwanzo nilikosea.

Mabeste kaanza kufunguka baada ya mkewe kufunguka Sana Kama mkewe asingefanya ile interview sizani Kama mabeste angefunguka.

Nilivyoona hiyo post yako kwamba aliyeanza ni Lisa nikajua hujawasikiliza.

Lisa is too genuine.
 
71E2BF44-C09B-4CCF-B010-79FF5A53DA15.jpeg
 
Mwana ukiisikia hiyo interview, straight utachukua upande wa Lisa.

Sijasikia hiyo issue ya miezi mitatu, sijui mwandishi kaitoa wapi.

Lisa kasema, Mabeste alihamia kwake Lisa, na kwa kipindi chote cha mahusiano yao, kama Mabeste kachangia basi ni 20%. Kilichomuuma Lisa mpaka kuibuka ni baada ya Mabeste kuanza kuzungumza kwenye media. So ikabidi na yeye aongee ili kuweka records clear.

BTW kulikuwa na tuhuma kwamba kwao Mabeste ndo walikuwa wanamchezea Lisa, hiyo anasema hata Mabeste amewahi kuwatuhumu ndugu zake.
Hapo utapata taabu kuwaelezea,watu hawajasikiliza interview uyo dada alikuwa mvumilivu kupitiliza had kaamua kujitolea mahari ya uongo uongo,
Na vyote kaongea hata tamasha idea ametoa yeye na uzuri ana ushahid Na watu kawataja,
*Nguo za harus wamepewa bure,
*had pakukaa walimuomba shish Na mengineyo,
* mwaka Jana muuza mapazia alimpost insta kakopa hajalipa ni waz maisha yaliwashinda,
Wanawake wavumilivu sana ila akichoka anashindwa kujizuia kuficha mambo yako ya kijinga hasa pale unapojikuta haujakosea,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nilipenda ndoa yao na wote nimesikia interview zao ila kwa upande wa mabeste hajafunguka Kama mke wake so sitaki nikae kwenye upande fulani cos sijajua mkewe Lisa aliyoongea ni kweli au la! Cha msingi ni vizuri Lisa angevunga au kukaa kimya ili kulinda jina la mabeste kingine mnapofunga ndoa kunakuwa na kiapo kinachosema hasa kwa kikristo tutapendana kwenye shida na wakati wa Raha naonaga hiki kipengele akitekelezwi sijui kwanini?
Sijui kwa nini? subiri ukioa ndipo utajua!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wote wawili ni wapumbavu. Hizi interviews zote zimerekodiwa na zitadumu milele. Watoto wao wataandamwa na maneno na matendo ya wazazi wao, na watakuja kuangalia na kusikia upumbavu wao milele.
 
  • Thanks
Reactions: naa
Back
Top Bottom