Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Tatizo ni ngumu kujua moyo binadamu, unamjuaje aliye serious?Huwa na insist wanawake kufungua mboni zao pale ambapo kuna mtu serious anapotangaza nia hata kama ni average joe,,,mwanaume hawezi kuwa maskini milele as long as anafight na maisha. Utakuta mwanaume anatoa dhati ya moyo kuwa yupo tayari kufanya maisha na binti na binti anaelewa kabisa mwamba kaoza ila anajifanya kichwa nazi .
Wanawake wengi wanapotezaga wanaume sahihi kwa maringo ya mda mfupi na kuachilia nafasi kwa masharo ambao they arent ready to be fathers matokeo yake wanaforce kupenda wasipopendwa na kuachiwa watoto wakiwa single parents kisha wanakuja kumwaga mipovu humu. All men are dogs shenzi.