NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
- Thread starter
- #81
Yaani super star mpenzi aksante sana kwa kunikamilishia siku yangu yaani nimechake sana hasa hicho kipengele cha watu ikiwemo police kuja na kukukuta umeshikilia ikulu. Pole lakini ungewaambia umepatwa na misuli imekaza
Afadhali ucheke kwa vile niko hai. Ningekufa ungezimia. kwa sasa nimekuwa mwangalifu hasa nitokapo ofisini
Msuli unakushikaje wakati unadraivu? Watahisi jamaa alikuwa anajieksipress mwenyewe:hand:
Msuli unakamataga hasa kitandani ukiwa umelala.........
Imenibidi niprint hii mada nitakwenda soma nyumbani--- nimekuwa teja
Mpelekee na mheshimiwa asije siku akavua nguo njiani kwa mende. Mende ni wabaya sana
Natamani kufahamu hiyo ofisi yako ilivyo au iko kwenye lile jengo bovu la USHIRIKA Pale Lumumba?
Ni jeno la ushirika gorofa ya 4