Sasa akiipulizia hiyo kitu kwenye baioloji afu akakuletea MIC uitumie si utaRIP?duh...pole sana wakwetu...mimi nadhani ungefuata huo ushauri wa kujipulizia bygon au doom......usifanye mchezo na mende kabisa...next tym keep a distance
Haya maofisi yetu yamezeeka sana na kutokana na watu kulipwa mshahara mdogo wanakuja na vyakula vyao kama mihogo ya kuchemsha na mikate kama mlo wa mchana/lunch ikimwagika ofisini inasababisha mende kupata mlo na kuzaliana zaidi. Poverty is very expensive
Haya maofisi yetu yamezeeka sana na kutokana na watu kulipwa mshahara mdogo wanakuja na vyakula vyao kama mihogo ya kuchemsha na mikate kama mlo wa mchana/lunch ikimwagika ofisini inasababisha mende kupata mlo na kuzaliana zaidi. Poverty is very expensive
Haya maofisi yetu yamezeeka sana na kutokana na watu kulipwa mshahara mdogo wanakuja na vyakula vyao kama mihogo ya kuchemsha na mikate kama mlo wa mchana/lunch ikimwagika ofisini inasababisha mende kupata mlo na kuzaliana zaidi. Poverty is very expensive
Sasa akiipulizia hiyo kitu kwenye baioloji afu akakuletea MIC uitumie si utaRIP?
Sasa tukuletee fomu ya chama chetu?Jamani mbavu zangu!
Afadhali nimevinjari jukwaa hili maana kule kwenye siasa du, kunakula akili sana.....
Hawa mende wetu wanatabia mbaya sana. Kila dakika leo naenda wash room kucheki isikute leo kuna katoto ka mende jana ilikuwa mama yao
Mukubwa lets cut the chase..Imarisha usafi wa makazi yako bana.