Msarendo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 10,477
- 6,428
katumwa na mkuu wake, so anataka onyesha zoezi alilisimamia mubashara. mungu atawalipa tuKwa chuki zake kaona akang'oe mwenyewe
katumwa na mkuu wake, so anataka onyesha zoezi alilisimamia mubashara. mungu atawalipa tuKwa chuki zake kaona akang'oe mwenyewe
Ndo hoja sasa horaaaa! Kutoka chama cha kupinga ufisadi mpaka horaaaaa!Haya yametokea Kati ya 2016 - 2017
1. Mkabomoa jengo la Bilcanas, mkapora na music systems, viti, viyoyozi, mike, taa, meza, bia, spirit, kufuli, milango n.k - HOLAAA
2. Mkapora meza, viti, mafile mouse na kompyuta za FreeMedia - HOLAAAA
3. Mkabambikia Kodi Hoteli Protea Aeshi - HOLAAAAA
4. Mkambambikia tuhuma za kuuza madawa ya kulevya - HOLAAAAA
5. Mkatengeneza lipropaganda la hovyo kumharibia sifa za kimaadili mbele ya jamii - HOLAAAAA
6. Sasa hasira zikawatuma kwenda na mabunduki kung'oa mchicha, kabichi, vitunguu, nyanya, pilipili n.k. - HOLAAAA
Hizi haziwezi kuwa akili za kawaida kabisa. Na aliyewaroga hawa mafisi ni marehemu bila shaka!
____________
Badala ya kumdhoofisha Freeman ameendelea kuwa imara zaidi, na Mungu anambariki zaidi na zaidi!!
Mimi nawaombea laana wote waliohusika na uzao wao wote!
C&P kutoka ukurasa wa Ukuta FB.
Jee mtu asiyeyumba namna hii tumuweke kundi gani? Na kwanini wanamuandama namna hii?
Mbowe kapotea kabisa, chadema inabebwa na matukio ya rais.mbowe ni shujaaa wa karne......
Matukio yanatufundisha kuwa Mtu yeyote maskini amebarikiwa kwa WIVU,HUSUDA,UKATILI - yaani roho mbaya ndo hazina yake haijalishi ana cheo gani. Nguruwe, nguruwe tu hataweza kuwa ng'ombe - tafakariHaya yametokea Kati ya 2016 - 2017
1. Mkabomoa jengo la Bilcanas, mkapora na music systems, viti, viyoyozi, mike, taa, meza, bia, spirit, kufuli, milango n.k - HOLAAA
2. Mkapora meza, viti, mafile mouse na kompyuta za FreeMedia - HOLAAAA
3. Mkabambikia Kodi Hoteli Protea Aeshi - HOLAAAAA
4. Mkambambikia tuhuma za kuuza madawa ya kulevya - HOLAAAAA
5. Mkatengeneza lipropaganda la hovyo kumharibia sifa za kimaadili mbele ya jamii - HOLAAAAA
6. Sasa hasira zikawatuma kwenda na mabunduki kung'oa mchicha, kabichi, vitunguu, nyanya, pilipili n.k. - HOLAAAA
Hizi haziwezi kuwa akili za kawaida kabisa. Na aliyewaroga hawa mafisi ni marehemu bila shaka!
____________
Badala ya kumdhoofisha Freeman ameendelea kuwa imara zaidi, na Mungu anambariki zaidi na zaidi!!
Mimi nawaombea laana wote waliohusika na uzao wao wote!
C&P kutoka ukurasa wa Ukuta FB.
Jee mtu asiyeyumba namna hii tumuweke kundi gani? Na kwanini wanamuandama namna hii?
Jpm anahusikaje hapo,Unajuu mkuu anajua nguvu ya chadema ni mbowe,ati kwasababu aliwabatiza kwa maji 2015,sasa muondoeni mbowe aje atakaewabatiza kwa moto,watz tumeyachoka ma ccm hata mfanyaje hakuna jipya kwenu.mkulu anataka tukubali mawazo yake ata kama ni ya kijinga,basi akate kichwa atuvishe ili tutumie ubongo wake.
namuonya visasi vyake kuna siku siku akiwa hai atasaga meno.tunaechukizwa na utawala unyanyasaji ni wengi.kumbuka kikwete pamoja na kumbeza lkn alikua rafiki wa makundi yote na uchaguzi ulikua tiamajitiamaji,je sasa uje na ccm ya kinagambo na bashite ambae ata kushinda serikari ya mtaa ataweza
Kama BashiteUnatumwa au Unatumika!?
Kama kuna vitu vya kijinga sana nchi basi ni pamoja na jambo kama hili kufanywa na mtu wa serikali. Iwe chuki za kisiasa, uwe ni wivu wa maendeleo au vyovyote vile, hu ni UJINGA wenye viwango vya PhD. Hivi katika hali kama hi, unaweza kuwashawishi watu kuwekeza vitu vya maana nchini? Unadhani wafanyabiashara wazawa na hata wasio wazawa wataendelea walau kuweka pesa zao kwenye mabenki ya ndani kweli? Tuelewe hivi, jambo lolote la kiuchumi tunapochukua hatua HASI kama hizi linafikirisha wengine. Mbowe angekua hana biashara nyingine nje ya nchi hakika wangekua wamemfirisi. Pole sana Mbowe, ndio matunda ya kua mpinzani but I am sure siku moja waliokufanyia hivi watakuja kuomba msamaha. Hivi kuna mtu aliwahi kufikiri kwamba in less than 5 years time Nape anaweza tishiwa bastola na police/TISS!?Mkuu wa wilaya ya Hai aking'oa miundombinu ya Kilimo cha mbogamboga kinachomilikiwa na Mbunge wa Hai Mh. Mbowe.
Huwezi kuondoa umasikini kwa kumchukia tajiri.View attachment 524199
Mbowe kapotea kabisa, chadema inabebwa na matukio ya rais.
Kama Bashite
Kuna mambo mengi sana ya kufanya wilayan hai Vijana Wanahitaji msaada kifkra Ila alicho ona DC ni mboga za majani za Mbowe ndio tatizo la Wilaya. Shame upon him ndio sababu wanaambiwa wanatakiwa kusoma na kuandika tuu. Juzi alitoka kugawa Vitanda vinne hospital akaona ndio amepatia. Hai hawahitaji DC kama huyu kwa kuwa hana mpango wa Maendeleo ni Mharibifu.Mkuu wa wilaya ya Hai aking'oa miundombinu ya Kilimo cha mbogamboga kinachomilikiwa na Mbunge wa Hai Mh. Mbowe.
Huwezi kuondoa umasikini kwa kumchukia tajiri.View attachment 524199
CCM wanapenda maendeleo lakini wanawachukia wapinzani wenye maendeleo.
Aibu yako, ulaaniwe hadi kizazi chako cha 4 Kijana DC na Mgambo wako mnaojua Kusoma na Kuandika tuuuuuu.Hawa ndio wakuu wa wilaya wanaomuwakilisha Magufuli aibu kweli.View attachment 524200
Watu wanakufa njaa mkuu wa wilaya mzima anaharibu chakula, chuki ya namna hii inaogopeshaHawa ndio wakuu wa wilaya wanaomuwakilisha Magufuli aibu kweli.View attachment 524200
Hapa ndo nakuja kujua mzungu anathamani anaulizwa kabisa watu wake wanakuja baada ya wiki moja au mbili ila mbowe walimpa miez 4 wakijua kabisa hatakuwa bado ajavuna