Jinsi Mbowe Anavyoshambuliwa na Bado Imara

Jinsi Mbowe Anavyoshambuliwa na Bado Imara

Inaonyesha jinsi gani haijui JD yake. Yaani anataka kusema na yeye ameteketeza mashamba ya bangi?
 
Haya yametokea Kati ya 2016 - 2017

1. Mkabomoa jengo la Bilcanas, mkapora na music systems, viti, viyoyozi, mike, taa, meza, bia, spirit, kufuli, milango n.k - HOLAAA

2. Mkapora meza, viti, mafile mouse na kompyuta za FreeMedia - HOLAAAA

3. Mkabambikia Kodi Hoteli Protea Aeshi - HOLAAAAA

4. Mkambambikia tuhuma za kuuza madawa ya kulevya - HOLAAAAA

5. Mkatengeneza lipropaganda la hovyo kumharibia sifa za kimaadili mbele ya jamii - HOLAAAAA

6. Sasa hasira zikawatuma kwenda na mabunduki kung'oa mchicha, kabichi, vitunguu, nyanya, pilipili n.k. - HOLAAAA

Hizi haziwezi kuwa akili za kawaida kabisa. Na aliyewaroga hawa mafisi ni marehemu bila shaka!
____________
Badala ya kumdhoofisha Freeman ameendelea kuwa imara zaidi, na Mungu anambariki zaidi na zaidi!!

Mimi nawaombea laana wote waliohusika na uzao wao wote!
C&P kutoka ukurasa wa Ukuta FB.
Jee mtu asiyeyumba namna hii tumuweke kundi gani? Na kwanini wanamuandama namna hii?
Huu utawala wa kimaruhani,yaani unang',oa mchicha
 
Umejuaje kama hola. Ulitaka atangaze hadharani hasara. Hata hivyo alishalalamika kuonesha yanamdhuru
Malengo hayakuwa hasara ila kumvunja moyo na kumtisha. Matokeo ni hola!
 
Umesahau na yeye mwenyewe kujirekodi akiongea na kumtongoza Wema ili apate ujiko toka kwa jamii kuwa anajuwa kutongoza machangu wa Bongo movie...HOLAAAAA
Unafananisha akili zako, Stive Nyerere na Mh Mbowe? Huoni hakuwajibu, baada kuiona tu, tukajua usanii na ukabuma.
 
Naota... kutakuwa na mkoa mpya hivi karibuni unataka kuanzishwa ama kuna mkuu wa mkoa atatemwa na LIJAMAA litachukua nafasi.... Ndoto bhana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Side Note:
Umefanya vema ku-acknowledge kuwa umekopi Facebook. Le Kibongez anakopi mabandiko ya barafu na kupesti Instagram kana kwamba yeye ndo mwandishi. Huu ni usomi uchwara. Piga kelele mpaka watu waelewe umuhimu na maana ya sheria ya hakimiliki.
 
Tuliambiwa Tanzania ya Magufuli itakuwa Tanzania ya Viwanda. Wamefanikiwa sana ktk kudhibiti wapinzani kiasi kwamba nimeanza kuwaona Tundu Lissu, Msigwa na Mbowe kama viwanda vya fikra. Lissu ni kiwanda cha sheria, Msigwa kiwanda cha Falsafa na Mantiki, Mbowe kiwanda cha uvumilivu na uaminifu ktk kile mtu anakipigania.
 
Kwa nini haendi mahakamani kama anaonewa?

Si kuna mwanasheria nguli huko.
 
Mungu wa mbinguni hato waacha watu wake wateseke,akiluhusu ujue na njia ya kutokea uwaandalia utafika wakati haya yote yatakuwa hadithi na tutafika tunakotaka hakuna alie kuwa mbabe kama farao ila zama zake zilipita na dunia aikusimama kina hitra walipita kina idi amini walipita hata hawa watapita na muda si mrefu wacha wajichimbie kaburi sisi tuna mkabizi mungu na atuja wahi kumkabidhi jambo akashindwa kutekeleza
 
Haya yametokea Kati ya 2016 - 2017

1. Mkabomoa jengo la Bilcanas, mkapora na music systems, viti, viyoyozi, mike, taa, meza, bia, spirit, kufuli, milango n.k - HOLAAA

2. Mkapora meza, viti, mafile mouse na kompyuta za FreeMedia - HOLAAAA

3. Mkabambikia Kodi Hoteli Protea Aeshi - HOLAAAAA

4. Mkambambikia tuhuma za kuuza madawa ya kulevya - HOLAAAAA

5. Mkatengeneza lipropaganda la hovyo kumharibia sifa za kimaadili mbele ya jamii - HOLAAAAA

6. Sasa hasira zikawatuma kwenda na mabunduki kung'oa mchicha, kabichi, vitunguu, nyanya, pilipili n.k. - HOLAAAA

Hizi haziwezi kuwa akili za kawaida kabisa. Na aliyewaroga hawa mafisi ni marehemu bila shaka!
____________
Badala ya kumdhoofisha Freeman ameendelea kuwa imara zaidi, na Mungu anambariki zaidi na zaidi!!

Mimi nawaombea laana wote waliohusika na uzao wao wote!
C&P kutoka ukurasa wa Ukuta FB.
Jee mtu asiyeyumba namna hii tumuweke kundi gani? Na kwanini wanamuandama namna hii?


- HAHAHAHAHHA kumbe ndio maana una hasira na matusi mazito mazito kumbe hii ndio sababu yaani your interest? hahahahahaha pole sana mkuu

le Mutuz
 
yani mkuu wa wilaya na suti yake anabinuka anachuma mchicha kwenye shamba la Mbowe ili kumkomoa.

kweli hii ndiyo Tanzania ya viwanda vya wivu wa kike.

Aibu tupu! Inaumiza sana kuona wengi miongoni mwetu ni mambulula. Hapo ndipo nakapendaga kale kamsemo wa ZERO BRAIN kwa sampuli ya watu kama hao . Unaharibu chakula, green houses na miundo mbinu yote. Iko siku msiyoifahamu gharika itawashukia wote mliohusika kukamilisha unyama huu.
 
Hiyo inaitwa aggression against properties
Asamehewe huyo anamsongo wa mawazo sio bure
 
Back
Top Bottom