Jinsi mapenzi yanavyonichanganya

Jinsi mapenzi yanavyonichanganya

wengi tu mwenyewe ni shuhuda wa hilo kwa rafiki yangu, yy anasema anaishi tu na mkewe kwa kuwa wamefunga ndoa lkn mkewe hampendi, hata katika kupanga mambo ya maendeleo mkewe huwa hatoi ushirikiano

hilo mimi siwezi ni vizuri kuwa na mtu ambae unakua comfortable naye hata kama ni rafiki..
 
Nina mchumba wangu ambaye tuna uhusiano wa miaka 2 na tupo mbioni kufunga ndoa,tatizo kubwa alilonalo mchumba wangu huyu ni amri yani ana amri hata Rais haoni ndani...yani cna raha na mapenzi kwakweli nafikiria kumwacha lakini namuonea huruma kwa sababu atalia sana na mbaya zaidi familia yake wananijua mi ni mchumba wake..pia kashanigharamikia vya kutosha yani lakini hizi amri anazonipa ndo cziwez na hajakaa kiromantic hata.

Nishaurini ndugu zangu nifanyeje?
Kujulikana na familia ndo kukufanye ukubali kuishi bila furaha for the rest of your life?!!! We goma kufuata hizo faken sheria zake, akimaindi na akuache. Unajua ukizaliwa kwwnye family isiyo na amani sio kosa lako, but ikiamua kuanzisha family isiyo na amani ni kosa nadhambi kwako...
 
^^
Nenda tu umwache,kama kulia atalia yataisha..
Amekugharamia umejiona mzuriii, umependeza eti ee!
..
Nenda mwaya.. Katafute hubby wa kukubembeleza muda wote, wa kukuchekea 24hrs!
Nenda mwaya! Baada ya kumvuna nenda kasherekee! Wala usimtafutie sababu..
..
Haa! Yaan uwe na mtu asiye romantic?
Romantic inaleta pesa
Romantic inajenga
Romantic ni mume mwema!
Romantic inaleta kazi
..
Nenda na kila la kheri
Pita mlango huooo wala usigeuke nyuma
^^

Kwikwikwi......
 
miaka miwil nw ndiy unaona hayupo romantic..muache uzeekee nyumbani

Azeekee nyumbani au ndoani kabla ya umri wa uzee kipi bora?
Akiolewa na mtu kama huyo mpe five years utamkuta ana wrinkles mpaka papuchini!
Kama ni binti anayejiheshimu ataolewa tuu, remember kuna second chance always!
 
Nina mchumba wangu ambaye tuna uhusiano wa miaka 2 na tupo mbioni kufunga ndoa,tatizo kubwa alilonalo mchumba wangu huyu ni amri yani ana amri hata Rais haoni ndani...yani cna raha na mapenzi kwakweli nafikiria kumwacha lakini namuonea huruma kwa sababu atalia sana na mbaya zaidi familia yake wananijua mi ni mchumba wake..pia kashanigharamikia vya kutosha yani lakini hizi amri anazonipa ndo cziwez na hajakaa kiromantic hata.

Nishaurini ndugu zangu nifanyeje?

Atalia siku mbili tatu.............. then atatulia! As for you, utapata taabu na mahangaiko kwa kipindi cha maisha yenu kilichosalia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom