ako me maste
Member
- Jul 23, 2012
- 60
- 17
Nina mchumba wangu ambaye tuna uhusiano wa miaka 2 na tupo mbioni kufunga ndoa,tatizo kubwa alilonalo mchumba wangu huyu ni amri yani ana amri hata Rais haoni ndani...yani cna raha na mapenzi kwakweli nafikiria kumwacha lakini namuonea huruma kwa sababu atalia sana na mbaya zaidi familia yake wananijua mi ni mchumba wake..pia kashanigharamikia vya kutosha yani lakini hizi amri anazonipa ndo cziwez na hajakaa kiromantic hata.
Nishaurini ndugu zangu nifanyeje?
pole sana kwa masihibu hayo ila kwa ushauri tu ni kuwa ndoa ni lazima ijengwe na upendo ksti yenu na si sababu nyngne si huruma wala kilio kinachokufanya uingie kwenye ndoa isije ikawa ndoa ndoano. tafakari na kufanya uamuzi ulio sahii